sisi ndo adui zao wakuu(Afrika nzima) mpige nani sasa ....wana maliza kwanza uku ili baadaye kikinuka waje kukaa uku
tafakari chukua hatua????????? we fikiria kila ugonjwa hatari chimbuko ni Afrika ??? alafu watakwambia chanzo ni nyani
Acha izo jembe ....sis ndo machalii wa chuga .... ...... kwanza karibuni chuga machalii acheni kudanganywa na watu chuga is best place in Tz ata mm first time na drop chuga watu walinitisha ivo ivo ila kufika mambo yakawa tofauti tena sana .......ila ukiwa chuga usizoee kila mtu ???????
kuna program mpya inayo itwa "" mobile patner " ina features zote Wi-fi,phone calling,ussd,message etc jaribu kudonload hii dashboard alafu ui replace iyo dashboard yako ya zamani(eithe airtel,tigo,voda and zantel....
Dah kweli lakin ....ata mimi nina tabia hiyo ita bidi niache kabisa ila ata kutupa kondom chini .........nita acha huu uchafu
ila izo zote mie sina zaidi ya izo mbili ....(kutupa kondom na kujifutia na shuka ila siyo kila siku)
Ebwana eeh akuna mtu ambaye ajawai kupiga punyeto ...ata kama uikua na demu wakati unabalee ...kuna ile stimu ya usiku hamu imekushika ...unafanya je sasa
kwa jamaa simlaumu sana labada alimhisi mkeo anatembea na jamaa mwingine au yeye alitembea na demu mwenye VVU akawa ana muepusha na janga...
Embu ngoja muhusika Jay Z au wewe usiwe unampa Jayz uhusika akati mwenye shida ni wewe kama ni wewe sema ntakusaidia,ila kama Jay z mwambie atafute pesa (aende mererani akachimbe madini) akipata mihela watakuja wenyewe alafu abadili mazingira ikiwezekana ahame mkoa kabisaapia kama ni mpiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.