Msaada: Paradigms School of Health and Allied Science

Msaada: Paradigms School of Health and Allied Science

MUHIZ

Member
Joined
Apr 18, 2015
Posts
40
Reaction score
6
Habari wanajamvi, nna mpango wa kwenda kupiga clinical medicine kwenye chuotajwa hapo juu, hivyo kwa mwenye kukifahamu hiko chuo in aspects of quality training, nacte registration e.tc. anijuze, natanguliza shukran.
 
Hamnakituuu hapooo bora uendee vyuoo vya private vingine tofautii na hicho tajwaa hapojuu
 
Nendaa vyuoo vyenyee hospitali babaa kama muhas mmtc mtwara lindi kcmc bugandoo kibaha kilosa mafinga iringa etc mbonaa unaendaa vyuoo vya ajabuu dogoo fanya uamuzii sahihii kwanzaa kwaninii uliamuaa kuwaza chuo kama hichoo au uponacho karibuu na nyumbanii
 
Nendaa vyuoo vyenyee hospitali babaa kama muhas mmtc mtwara lindi kcmc bugandoo kibaha kilosa mafinga iringa etc mbonaa unaendaa vyuoo vya ajabuu dogoo fanya uamuzii sahihii kwanzaa kwaninii uliamuaa kuwaza chuo kama hichoo au uponacho karibuu na nyumbanii

Actually nilitaka kwenda hapo coz mimi ni mwalim wa parttime kwny kituo fulan cha QT and Reseaters maeneo ya bugurun,hivyo nilitaka kuendelea na kaz huku nasoma, ila kama kuna chuo kzur klichopo ndan ya DSM knachotoa diploma ya medicine naomba nifahamishe mkuu.
 
Anhaaa daa kwa hapo ninavyovijuaa kuna KAM college cha kule kimara private adaa sjuii utaiweza CITY college kipo mbagala sjuii IMTU hubert kahiruki kampala sema adasasaa kamaunaweza kuafford frshh vyotee hivyoo private
 
Anhaaa daa kwa hapo ninavyovijuaa kuna KAM college cha kule kimara private adaa sjuii utaiweza CITY college kipo mbagala sjuii IMTU hubert kahiruki kampala sema adasasaa kamaunaweza kuafford frshh vyotee hivyoo private

Thanks mkuu, sema kampala ndio ilikuw first choice ila kwa sasa kuna mgomo kw wanafunz wa kada za afya,ila km mambo yatekwnda vzr ntakwnda kampala.
 
mimi mwenyewe nakitaka hikohiko ....vitu nikibaya au ndo kwajili hakina Hosp
 
Habari wanajamvi, nna mpango wa kwenda kupiga clinical medicine kwenye chuotajwa hapo juu, hivyo kwa mwenye kukifahamu hiko chuo in aspects of quality training, nacte registration e.tc. anijuze, natanguliza shukran.
Hakuna chuo hapo tafuta kingine kuna mshkaj wangu alikua anasoma hapo akaacha

NB: vyuo vya private vilivyopo dar es salaam si vizuri nenda mvumi, machame au st. Aggrey mbeya
 
Habari wanajamvi, nna mpango wa kwenda kupiga clinical medicine kwenye chuotajwa hapo juu, hivyo kwa mwenye kukifahamu hiko chuo in aspects of quality training, nacte registration e.tc. anijuze, natanguliza shukran.
Nipigie nikuweke wazi, im the product of that college 0686922293
 
Chuo chochote ni bidii yako mwenyewe ili mradi kiwe kimesahiliwa na kiwe na waalimu wa kutosha lakini ungepata vya mission ni safi sana sengerema mvumi kolandoto bumbuli nk mission wanatoa elimu safi hawapo kimaslahi
 
Mtaka mawili moja humponyoka kozi za afya si mchezo muda wa kwenda kufundisha huko pembeni hutaupata ndg otherwise utadisco tu ni hekaheka mambo ni mengi na huwezi kutega kipindi
 
Mtaka mawili moja humponyoka kozi za afya si mchezo muda wa kwenda kufundisha huko pembeni hutaupata ndg otherwise utadisco tu ni hekaheka mambo ni mengi na huwezi kutega kipindi
acha woga..
 
me nlipga hapo kwa miezi kadhaa but nliacha chuo coz kuna mambo ya msingi ambayo chuo hufanya kwa medical students but paradigms wanayapotezea, ushaur wang tafuta chuo kingine
 
Hakuna chuo hapo tafuta kingine kuna mshkaj wangu alikua anasoma hapo akaacha

NB: vyuo vya private vilivyopo dar es salaam si vizuri nenda mvumi, machame au st. Aggrey mbeya
MACHAME wapo vizuri kwa kwel.... kuna dogo langu mmoja yupo machame na alitokea chuo uchwara(DECA)
 
Back
Top Bottom