NECTA waja na mpya ya madaraja ufaulu sekondari

Apr 6, 2013
74
14
Eti NECTA wametoa mgawanyo wa alama na gredi zake mbalimbali ili wananchi tuchague itakayofaa,ndiyo itumike.Ikoje hii?
 
yapo wapi ayo madaraja? mbona umeleta habari ambayo haijakamilika mdau? jipange sasa, si wengine hatujui madaraja yapi ya mazense au ruvu?
 
Kuanzia mwaka jana 2012 Necta walitumia fixed Grade Ranges kwa kidato cha nne na sita ambapo kwa kidato cha 4
A-80/100
B-65/79
C-50/64
D-35/49
F-0/34
KIDATO CHA 6
A-80/100
B-75/79
C-65/74
D-55/64
E-45/54
S-40/44
F-0/39
Baada ya kutumia huo mfumo kimya kimya bila kushirikisha wadau wanafunzi wakafeli sasa hv ndo wameona umuhimu wa kushirikisha wadau wote ili kupata utaratibu unaofaa!
 
Ukiona na masuala ya Elimu munayageuza kuwa ya kisiasa ujue Elimu kwishiney!

Na kubaliana NECTA hasa viwango hivi vya mwisho nawaomba waruhusu mjadala kwenye D-A na kwamba atakayepata chini ya 34 O'level na 39 A'level ni failure na hili lisiwe na nafasi ya kujadiliwa.

Kinyume na hapa tunatengeneza jamii ya wasomi wa jina tu (Dr'' mara Professa) na majina mengine mazuri ya kisomi lakini kichwani hamna kitu!


Kuanzia mwaka jana 2012 Necta walitumia fixed Grade Ranges kwa kidato cha nne na sita ambapo kwa kidato cha 4
A-80/100
B-65/79
C-50/64
D-35/49
F-0/34
KIDATO CHA 6
A-80/100
B-75/79
C-65/74
D-55/64
E-45/54
S-40/44
F-0/39
Baada ya kutumia huo mfumo kimya kimya bila kushirikisha wadau wanafunzi wakafeli sasa hv ndo wameona umuhimu wa kushirikisha wadau wote ili kupata utaratibu unaofaa!
 
Eti NECTA wametoa mgawanyo wa alama na gredi zake mbalimbali ili wananchi tuchague itakayofaa,ndiyo itumike.Ikoje hii?

Sio NECTA, ni wizara ya elimu ndio wametoa dodoso la upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa watahiniwa wa sekondari (O & A levels). Dodoso ipo katika website ya wizara, moe.go.tz
 
Sio NECTA, ni wizara ya elimu ndio wametoa dodoso la upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa watahiniwa wa sekondari (O & A levels). Dodoso ipo katika website ya wizara, moe.go.tz


Asante kwa kumuelekeza. Watu wamelishwa sumu kuhusu NECTA hadi wanasahau kuwa wao kwa sehemu kubwa ni watekelezaji.
Madaraja yalipangwa na yakaafikiwa na wao wakatekeleza.
 
lakini wanapaswa kuweka sawa namna ya maksi za CA zinavyo chukuliwa katika upangaji wa matokeo ya mwisho ....
 
Raha Ya demokrasia, lazima maafikiano Ya wananchi, ivi wanafikiri tutakubali Maksi za ufaulu ziwe za juu! ili wanetu wafeli?
 
good point ....eti "F"34 wakati wao walipita kwa "F" 21 kushuka chini alafu "D" 50 hii eleimu au ukomandoo
 
watanzania wengi wasivyo na uwezi wa kufikiri wanafurahia kushushwa kwa viwango vya ufaulu,, tunatengeneza jamii ya vilaza tu
 
Back
Top Bottom