Wewe u muongo umeandika maoni binafsi ya watu. Walikuwa wanatoa maoni hayo kwa kuwa watu wa Geita waliona kuwa Wilaya ya Busanda yenye madini ingeenda mkoa mpya wa Chato.
Makubaliano ya mwisho ni kuwa Wilaya ya Busanda inabaki mkoa wa Geita na kisiwa cha Rubondo kinabaki Chato
Mkoa wa Geita...
Uwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.