Nikweli mkuu hapo naamini kua kilichofanya ZZK afukuzwe ni chuki tu sababu kaenda kwingine na sasa sio mwanachama wao so tatizo liko wapi au ndio ile ya kuacha mke wakati bado unampenda!!!
Jamani tuachieni Zitto wetu cc ambae hatuchagui chama tunachagua viongozi, kama ndani ya CHADEMA alifanya usaliti cc watanzania bado tunajua umuhimu wake xo kukesha na kuchangia hizo pumba zenu humu ni ujinga" cz hakuna lolote la maana kwenu zaidi ya malumbano yasio na msingi.
Sijui mmekosa...
Kiukweli inasikitisha kuona watu wakishabikia mauaji haya ya askari wetu!
Lakini embu tujiulize ameuliwa akiwa kwenye kuzuia maandamano au kuokoa uhai wa mtu mwingine R.I.P kamanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.