Recent content by Ni weweeee

  1. N

    Joti aangalie maeneo ya kuvaa magauni

    Atapigiwa tu
  2. N

    Uzinduzi wa chama ACT Tanzania March 29, 2015, kumbe walikuwa hawajazindua?

    Nikweli mkuu hapo naamini kua kilichofanya ZZK afukuzwe ni chuki tu sababu kaenda kwingine na sasa sio mwanachama wao so tatizo liko wapi au ndio ile ya kuacha mke wakati bado unampenda!!!
  3. N

    Uzinduzi wa chama ACT Tanzania March 29, 2015, kumbe walikuwa hawajazindua?

    Jamani tuachieni Zitto wetu cc ambae hatuchagui chama tunachagua viongozi, kama ndani ya CHADEMA alifanya usaliti cc watanzania bado tunajua umuhimu wake xo kukesha na kuchangia hizo pumba zenu humu ni ujinga" cz hakuna lolote la maana kwenu zaidi ya malumbano yasio na msingi. Sijui mmekosa...
  4. N

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Ndugu zangu wa mbinga mungu kawaokoa kutoka mikononi mwa mifisadi. R.I.P
  5. N

    Dodoma: Askari Polisi auliwa na raia

    Kiukweli inasikitisha kuona watu wakishabikia mauaji haya ya askari wetu! Lakini embu tujiulize ameuliwa akiwa kwenye kuzuia maandamano au kuokoa uhai wa mtu mwingine R.I.P kamanda
  6. N

    Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

    Mungu aendelee kuwaepusha makamanda wetu wote
  7. N

    Tizama waandishi wa Uganda Wanavyomuandika Diamond

    Mnawivu nyieeeeeeeeeee!
  8. N

    CHADEMA sasa yamvuruga Zitto ACT-Tanzania

    Kumbe zzk ni mshirikina! Umemjuaje au wewe pia ni mtu wa imani hizo?
  9. N

    Waliotembea kwa mguu kutoka Geita, wapandishwa Kizimbani

    Duh! Yaani wewe ni bonge la f.a.l.a bilashaka itakua 0714...... inatumiwa tu
  10. N

    Salum Mwalimu kateuliwa kueneza CHADEMA Bara au Zanzibar?

    Umelogwa wewe kwani cc wa bara wote ni wakristo? Amina weweeeeeeeeeeee
  11. N

    Mwanasiasa bora wa mwaka 2014

    Warioba
Back
Top Bottom