Recent content by nhobola ye2

  1. N

    Watendaji wa wilaya ya Kwimba waamliwa kufanya kazi za kampuni binafsi

    Watendaji wa wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wameamriwa na mkuu wa Wilaya hiyo kufanya kazi za kuuza mbengu za pamba za kampuni binafsi bila malipo wala posho yoyote kwao. Amri hyo imetolewa na mkuu wa Wilaya bila kujali kuwa watendaji hao wameajiliwa na serikali!. Je, kwa sheria za utumishi wa...
  2. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo mwanza nje mbeya wilaya ya tukuyu'mm nipo kwimba elimu sekondari0786508520
  3. N

    Huku mishahara imetoka nyongeza ni tsh 44,511/= huko kwenu vipi?

    wadau habari zenu!naomba kujuzwa kwa waliopata mishahara'ongezeko ni sh? kwa degree ya education' kama huna taarfa pita bila kudhuru
  4. N

    Kwa utendaji kazi huu, serikali inapoteza pesa za walipa kodi

    Mimi ni mfanyakazi wa h/wilaya Kwimba, nimepata machungu sana baada ya kuona nyumba inayojengwa Lyoma Sekondari kwa gharama ya milion hamsini pesa za walpa kodi ikiwa hairidhishi. Nyumba yenyewe tulipoenda kuikagua na maafisa wengine wa wilayatukakuta ina vyumba 2 na sebule badala 2 in 1 kama...
  5. N

    M4C-OPD kutikisa ndani ya Ngudu - Kwimba

    lazma kieleweke kwimba
  6. N

    M4C-OPD kutikisa ndani ya Ngudu - Kwimba

    Mh. John Mnyika na kikosi chake watakuwa katka viunga vya mji wa wasukuma Ngudu. iKada wa CHADEMA aitwaye Kazimi (painter) anatembea na gari la matangazo kuwajulisha wana-nchi wote kinachoendelea. Update mtazipata kuanzia sasa.update 2 naona makamanda wa red briged wako tayari,watu...
  7. N

    leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

    thus why we learn psychology b'coz of that uniquiness'so don't create a defencive mechanism while the reality is very exposed'just accept the challenge and work upon.
  8. N

    leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

    unapoambiwa tabia yako badilika'kukubal kukosolewa na mwanzo wa kubadilka acha matuc'accept exceptional challenges
  9. N

    leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

    tumekuwa tuktaja mazambi ya huyu mama lakini haelewi'kina-mama wenzake wanadiliki kumwita ninghi'(kisukuma) analinga sana hajal watu
  10. N

    leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

    katka hali isiyo ya kawaida mbunge wa vti maalum jimbo la kwimba amekuwa rafiki wa pete na kdole na wana-ccm hatakufika hatua ya kutowajali wananchi hata kwa salam tu,haya yamejizihilisha leo katka stand ya ngudu mjini ambapo mweshimiwa ali-pack r4 yake na kuanza ku-chat na kna-malando(diwan...
  11. N

    NMB Ngudu wanakela wateja

    Kama kuna huduma mbovu Tanzania za kibenki basi tawi la Ngudu NMB linaongoza. Tawi hilo uchukua ATM card zilizokwisha muda wake inachukua masaa 4. Kwa jografia ya mji huu mtu akitoka Mpamwa au kikubiji analazimika kukaa siku nzima hivyo kuathiri uzalishaji kwa sekta nyingne. Meneja hajui...
  12. N

    Wanawake Na Picha Za Utupu!!

    hawa wadada hawana jpya jaman kwa hyo tufanyen kama hatuwaon watakaa kwenye mstar wenyewe!!
  13. N

    Wanawake Na Picha Za Utupu!!

    my take. bac kama mzaz naye ataonesha mavaz yavle naye mpuuz pia'by baba d
  14. N

    Makubaliano ya CWT na serikali

    nmekusoma kaka' lakin habar hii n ya kwel'cjui ku2pia waraka nnao ngeuweka hapa'ila tuache ma2c wakat 2nachangia hayana mana kama unahacra rest a menute b4 attacking sb'
  15. N

    Ndoa Nyingi Kusalitiwa!!

    nna dawa ya nguv za kiume'mkeo hatok tena'mit shamba za uhakka kama vp npm'wadau unauwezo wa kupiga @cku gor zaid ya 3'msukuma orginal'pia nnadawa ya ksukar malpo mpaka uone mafankio
Back
Top Bottom