nhobola ye2
Member
- Dec 22, 2013
- 24
- 1
Watendaji wa wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wameamriwa na mkuu wa Wilaya hiyo kufanya kazi za kuuza mbengu za pamba za kampuni binafsi bila malipo wala posho yoyote kwao.
Amri hyo imetolewa na mkuu wa Wilaya bila kujali kuwa watendaji hao wameajiliwa na serikali!.
Je, kwa sheria za utumishi wa umma ni sawa?
Karibu kwa mjadala.
Amri hyo imetolewa na mkuu wa Wilaya bila kujali kuwa watendaji hao wameajiliwa na serikali!.
Je, kwa sheria za utumishi wa umma ni sawa?
Karibu kwa mjadala.