Wale waha waliojaa Daslamu 80% ni warundi.Wakiingia kigoma Huwa wanafanya juu chini kusepa chap kuingia dar,na biznes zao Huwa ni maduka,na kwa wale wasio na mitaji wenzao wenye mitaji huwapa bidhaa wazungushe mitaani.Nina marafiki zangu warundi watatu wako pale Boko chama,mmoja ana duka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.