Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

Sema ukweli hakuna anae kujua watu wazurii wapo humu.

Ukiitaji msaada wangu Mimi najitoa bureeeee Ntakufunza uone thamani ya UHAI

Najua psychology Yako siku moja TU hayo mawazo yanaondoka

Tafuta hata IDs ingine funguka utapata msaada humu JF cream ya watu wenye akili TANZANIA IPO NAKWAMBIA UTAPATA MSAADA

SAVE THE DATE
Kapunwa na aviator huyo
 
Na ubaya wa haya mambo baadae mtu anakuja kufanya kweli(kujiua) watu tunabaki na masikitiko

Bahati mbaya zaidi ukileta jambo jukwaani regardless ni zuri ama baya,wapo/tupo watakaotokea na mawazo negative....huu ndio uhalisia wa maisha na sidhani kama Max anaweza kusaidia sana kuhusu hili
Mungu atupe vifua tu, dunia haijali
 
Nimejaribu mbinu nyingi ya kujiangamiza ila nashindwa kwa nin sifi niondokee matatizo Kila nikijarib nafel
Chukua kipaza sauti nenda pale Askari Monument uanze kutangaza kwamba wewe ndiyo uliyekuwa umemteka Mafwele na ukamf*ira sasa unamuhitaji Bi Kizimkazi na mwanae Abdul nao ukawachape nao, in less than half an hour utakuwa umeshadedi.
As easy as ABC.
 
Nimejaribu mbinu nyingi ya kujiangamiza ila nashindwa kwa nin sifi niondokee matatizo Kila nikijarib nafel
Nasisitiza kwa kuwa nipo mbezi kugombea usafiri wa Gomz nitarudia hoja ya mjumbe.

Kama ni utani unafanya ili kupata engagement sawa, utapata utakachokipata ila kama uko serious basi tambua maisha ni zaidi ya matarajio, kuna kufanikiwa na kufeli, ila hivi vyote ni vya muda maana unaweza kufanikiwa na ukafeli baadae.
 
Back
Top Bottom