Kwa mtu binafsi (individual) kuna tax table inayoainisha viwango vya kukatwa Income tax.Ila haijafika 18%
Kama ni kampuni ni 30% ya kipato ilicho pata kwa mwaka
Habari wana JF,
Tafadhari nahitaji mawasiliano ya watengenezaji wa tube za namna hii. Nahitaji kwa matumizi ya kuwekea shampoo,shower jell n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu,Pia Azam watafute tatizo la channel kujihamisha hamisha zenyewe pasipo command ya mtumiaji.unakuta unaangalia Azam two,ghafla kimamuzi kinaamia channel nyingine kabisa.
Kwa level uliyofika ki elimu kabla ya chuo ni fulsa kubwa.
Anza kufikiri kitu mbadala cha kufanya pasipo kupoteza muda.
Mfano,Pata fulsa za kusoma kozi ndogo ndogo za uzalishaji mali. Nina imani utapata nini cha kufanya.
Pia jifunze hata biashara unayoweza kufanya kwa kuanza na mtaji mdogo hata...
Binafsi najua ili ufanye biashara inahitajika Nia,Mtaji na Udhibiti
Wengi hukwama kwenye nua.tunakuwa na nia ya kufanya biashara nyingi nyingi pasipo kuweka mkazo katika kitu kimoja kwanza.Ukiweka mkazo kwa kitu kimoja ni rahisi kukianza na kujiendeleza.Mitaji wengi ni rahisi kutafuta.Kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.