Tunachimba visima

Tunachimba visima

Shida ni kuwa kampuni nyingi za drilling ni za Wahindi au wageni ambao kwa sehemu kubwa wamejikita kwenye mining sector, na hii moja (Maswi) imejikita zaidi kwenye borehole. Lakini kulingana na maelezo ya kampuni hii nilijifunza pia kwamba drilling industry imevamiwa na wageni ambao hasa ndiyo wasumbufu kuliko hata hao Maswi maana kampuni mojawapo ilikuwa INA charge around 300,000/= per m sq
Duuh bora umenipa mwanga aisee.

Shukrani umenipa na comparison
 
1/tunachimba visima kwa dar es salaam elf sitini na tano (65,000) chimba mikoa yote tanzania bei maelewano gharama zetu nafuu sansa)

2/tunasafisha pump na compressor

3/tunapima maji yanapatikana mitangapi kwenda chini

4/tunatoa pump zilizo katikia ktk visima chini gharam zetu ninafuu sana napia tunafika mkoa wowote

5/ tuna compressor kubwa ya kuflashia visima catapila
tunakaribisha visima vya miradi mbalimbali (makanisa misikiti mshirika n.k) gharamazetu ninafuu sana

6/kuja saiti kwa hapa dar es salaam pia Kwa ushauri tunakuja

tuna mashine za kisasa kutoka u.s.a mpya kabisa tunachimba popote ndani ya tanzania
(tanzania kuwa na maji mengi inawezekana karibuni)
0712690760
Hello vipi??

Mi nlichimba kisima Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibiti mita 60 nikapata maji, nikatosa na PVC kabisa, kuja kuvuta after a week yakaisha.
Sasa nataka nichomoe zile PVC nichimbe pale pale kwenda chini zaidi another 60 meters ili kiwe kisima cha mita 120,
Inawezekana??
Kama ndio, Gharama zako zitakuaje??
 
Ulipima kabla yakuchimba mkuu mana muda mwingine huwa tunashauri watu wapime Kwa watu walio sajiliwa na Pima Visima vinachimbwa nawatu walio sajiliwa ili kuhepu kupata matatizo km haya ila ulini pm nimekujibu mkuu pole San Kiongozi
Sikupima kaka, niliwaambia tu wachimbe mpaka wakute maji,
Kwa kesi yangu nimekuuliza pale juu kua unaweza kunisaidia??
PM sijaona jibu kaka
 
mim npo mvuti naitaji izo huduma iyo elf65 sijaelewa ni gharama ya uchimbaj kivip jarbu kufafanua tuelewe
 
Hello vipi??

Mi nlichimba kisima Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibiti mita 60 nikapata maji, nikatosa na PVC kabisa, kuja kuvuta after a week yakaisha.
Sasa nataka nichomoe zile PVC nichimbe pale pale kwenda chini zaidi another 60 meters ili kiwe kisima cha mita 120,
Inawezekana??
Kama ndio, Gharama zako zitakuaje??
Hilo mkuu haliwezekani. Shimo likishawekwa pvc pipe pamoja na changarawe, huwezi kung'oa tena pvc. Unabidi tu ufanye survey pengine ili uchimbe penginepo tena.
 
Weka vibali vya usajiri wa kazi zako zote ulizotaja. Kumbuka kwa mujibu wa sheria ya usimamizi wa rasilimali za maji namba 11 ya mwaka 2009 na kanuni zake.

1. Kampuni lazima isajiliwe na wizara ya maji ili iweze kufanya hizo kazi.

2. Mitambo ya uchimbaji lazima isajiliwe.

3. Wachimbaji lazima wasajilowe.

4. Wanaofanya utafiti kujua maji yapo kina gani lazima wasajiliwe.

Sasa wewe tuwekee hapa hivyo vyeti vya usajili la sivyo mawasiliano uliyotoa yatatumika kukukamata kama mchimbaji haramu.
Hadi kununua hiyo mitambo hawezi kushindwa kutimiza haya matakwa.
 
1. Kuna haja ya makampuni/ watu binafsi kichangamkia fursa.
2. Wachimbaji wengi hawatafuti wateja.
3. Nchi inategemea Kilimo, ila wauzaji was magari wanashindana kusaka wateja kuliko wadau was Kilimo.
 
Sikupima kaka, niliwaambia tu wachimbe mpaka wakute maji,
Kwa kesi yangu nimekuuliza pale juu kua unaweza kunisaidia??
PM sijaona jibu kaka
Siyo kila eneo lin maji chini ya ardhi.

Upatikanaji wa maji chini ya ardhi haitegemei kina cha kisima. Yaani si lazima uchombe kisima kirefu ndipo upate maji.

Si kila mtu ni mtaalamu wa maji chini ya ardhi. Hii ni fani kama zilivyo fani nyingine kama udaktari. Isipokuwa fani hii imevamiwa na vishoka ambao husababish matatizo kama yaliyokukuta katika jamii.

Kwa usalama wasilianeni na mamlaka husika. Yaani wizara ya maji. Kabla ya kuingia mkataba na mchimbaji ili kijua kama ni mchimbaji aliyesajiliwa au ni kishoka.
 
Hilo mkuu haliwezekani. Shimo likishawekwa pvc pipe pamoja na changarawe, huwezi kung'oa tena pvc. Unabidi tu ufanye survey pengine ili uchimbe penginepo tena.
Dah,
Hasaraaaaa
 
1/tunachimba visima kwa dar es salaam elf sitini na tano (65,000) chimba mikoa yote tanzania bei maelewano gharama zetu nafuu sansa)

2/tunasafisha pump na compressor

3/tunapima maji yanapatikana mitangapi kwenda chini

4/tunatoa pump zilizo katikia ktk visima chini gharam zetu ninafuu sana napia tunafika mkoa wowote

5/ tuna compressor kubwa ya kuflashia visima catapila
tunakaribisha visima vya miradi mbalimbali (makanisa misikiti mshirika n.k) gharamazetu ninafuu sana

6/kuja saiti kwa hapa dar es salaam pia Kwa ushauri tunakuja

tuna mashine za kisasa kutoka u.s.a mpya kabisa tunachimba popote ndani ya tanzania
(tanzania kuwa na maji mengi inawezekana karibuni)
0712690760
Kwa Dar mko sehemu gani nahitaji huduma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom