Recent content by nguvumali

  1. nguvumali

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    si kweli , hapa unasema uongo , mimi nimekunywa bia na Prof Shaba mara ya mwisho mwaka 2007 pale Jolys Club nyuma na Aghakhan (sijui kama hiyo Club ipo bado) na wakati huo alikua anafanya parttime Muhimbili (MUHAS )
  2. nguvumali

    Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

    labda nikusaidie kuweka records sawa, Balozi Ephraim Weid Mwasakafyuka alikua Mkurugenzi wa Maendeleo Mkoa wa Tanga. Nilikuwepo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga wakati akiwa Mkurugenzi pale. na aliletwa pale akitokea kuwa Katibu Mkuu Foreign Affairs
  3. nguvumali

    Kuita IFM, DIT, NIT na CBE kama vyuo ni makosa makubwa sana

    unajua zamani ilikua ujiko kusoma UDSM, so bado unafikiri sawa na watu wa miaka ya 1970 huko, nimesoma degree ya kwanza UDSM, MSc IFM, PhD namalizia India
  4. nguvumali

    Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    Hahaha aha aaha 😂 huyu Jamaa alikuaga kamba sana . Mungu amuhurumie kwa uongo wake
  5. nguvumali

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    P. M Libaba aliishafariki miaka 4 au 5 iliyopita . Alipostaafu alihamia kwake Ruvu na aliwahi kugombea Ubunge kupitia Chadema bahati mbaya chama hakikumpa ridhaa
  6. nguvumali

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Mwalimu Libaba PM , alipenda kutoa mfano wa zero iliyoandaliwa
  7. nguvumali

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Gogomoka alipata Division Zero pale Minaki Secondary
  8. nguvumali

    Uzi maalumu wa majina mapya ya watoto

    1. Ngengemkeni 2. Torabora 3. Gongomoka 4. Misalaba 5. Gamutu 6. Lenjore 7.Kinyamkela 8.Golgota
  9. nguvumali

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Mwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara . Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi
  10. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Basi makubwa maana madogo yananafuu
  11. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Shida segerea ni high altitude , so speed ya maji ni kubwa tofautI na Jangwani, ukifanya river bank kuwa tifutifu unaruhusu mmomonyoko kirahisi
  12. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Asante mkuu , Pana ugumu sana mahali pale
  13. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Leo nilipokea wito wa kuitwa kituo kikuu cha polisi cha stakishari , Nikapita njia ya Segerea senior Seminary, wakati navuka mto msimbazi nikakuta maroli zaidi ya 7 yanajaza mchanga toka mtoni hapo. Nikaangalia kwa masikitiko sana , huu uharibifu wa mazingira unaweza kuzua shida kubwa mbeleni...
  14. nguvumali

    Ali Bananga: Rais Samia amebakiza miaka 7, anatoa darasa kwa kiongozi ajaye

    Angalau amepata kazi sasa aache kumsumbua Mkewe Hela ya bia , Hela ya bundle na hela ya kuhonga .
Back
Top Bottom