nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Leo nilipokea wito wa kuitwa kituo kikuu cha polisi cha stakishari , Nikapita njia ya Segerea senior Seminary, wakati navuka mto msimbazi nikakuta maroli zaidi ya 7 yanajaza mchanga toka mtoni hapo.
Nikaangalia kwa masikitiko sana , huu uharibifu wa mazingira unaweza kuzua shida kubwa mbeleni .
Serikali ya Wilaya Ilala lazima isimamishe hii kinachoendelea kabla hatujayavuna mabua .
Nikaangalia kwa masikitiko sana , huu uharibifu wa mazingira unaweza kuzua shida kubwa mbeleni .
Serikali ya Wilaya Ilala lazima isimamishe hii kinachoendelea kabla hatujayavuna mabua .