hi wana JF, hivi karibuni nilimsikia waziri wa nishati na madini akiongea kwenye TV kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku akisema kuwa bei ya mafuta imeshuka chini ivo anaagiza Tanesco kushusha bei ya umeme na kuagiza pia Sumatra kushusha nauli ya daladala na magari yaendayo mikoani...
hapa jirani kuna wana chuo mabinti wazuri kupitiliza mara nyingi wanashinda na kanga , bas ni hatari sana mara kanga imefunika unaona pichu anairudishia mara kainama unaona mzigo wote nyuma, huwa nawchek kupitia dirishani kwangu mpaka najishtukia kukaa nje, juzi kati nikatia sound mmoja ful...
mahakama ikipitisha hili itakuwa imekosa uzalendo na heshima yake. huku mtaani hatutakuwa na imani tena na mahakama tutaendelea kuhukumu watuhumiwa sisi wenyewe huku mtaani.
aliposema mwanasheria mkuu sio mshauri wa bunge niliona kama magamba walihisi kachemka kumbe siku zote hawajui kazi ya mwanasheria bungeni yupo kwa ajili ya nani, alipowaambia kuwa lina wanasheria wake wengi walijoina vilaza watu wanachanganya hii mihimili, mara nyingi mambo ya kibunge...
siku nikikuta polis anang'atwa na nyoka nitamsaidia nyoka kung'ata polis pia, hakuna upendo na utanzania, hatupendani raia wa nchi moja, tunaibiana na kuoneana, Mwalimu aliwahi kusema ukiona polisi hawana maelewano na raia uje uongozi upo mbali na raia wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.