Kwenda tu ni kuonesha jinsi gani sio muelewa ungebaki usingejua na mapenzi yangeendelea ila kuenda sindio kuonesha sio muelewa kinga'nga'anizi ila mwenye kilanga aliliwi waka awekewi matanga jifunze kuwa na ukomo akuna msafi pote ukikatazwa Jambo uwe mwelewa
Ni kweli usemacho ila kuna Jambo wapaswa ulitambue utumwa wa fikra ni mbaya kuliko unavodhani we uoni soni kuenenda tamaduni za kigeni ilihari vyako unavyo mnyakyusa anakwao na lugha yao alikadharika wew .ni mwafrika kuvikumbata vya mzungu ni dhambi toka kifungoni na ujitambue kwa upande wa pili
Msamee tu mrudi home maisha yaendelee ila tabia ya kukatazwa Jambo na kung'ang'ania sio nzuri utakuja kufa bure mtu akikukataza Jambo uwe unaelewa maana umekuta ayo ungekuta makubwa zaidi si ungeumia moyo na kumwacha je ungepata faida gani kiranga si kizuri
Bado upo kifungoni kama walivyokuwa wazazi wako sitaki kuamini kama ujui kwamba dini ni taasisi za watu fulani kwa ajiri ya shughuli zao binafsi nasio muumba kama ulivyokaririshwa ......acha nikupe elimu kidogo agent of colonialism waliku s ao mapadre nyie muwaitao wa missionaries wao walilipwa...
Rejea kwenye history ya primary tu nadhani Kuna maarifa meng ujafahamu mzungu kabla ya kuja mwafrika alishakuwa na utaratibu wake wa maisha nikikukumbushe Jambo dago2 ujawahi kusikia kuhusu machifu zana za mawe zana za chuma iyo ni technology ilikuwapo kabla ya ujio wa watu wa magharibi mzungu...
Usiku wa Jana nimeota Kama nakula ivi ghafra nikajing'ata nikastuka kwa maumivi makala kujicheki nimeumia kweli ndoto Kama hizi wajuvi wa Mambo huwa namaaga gani msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.