Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Ndo nataka tumfanyie mambo maana anamilikiwa na KABENIKUMI![]()
![]()
mdogo wangu huyo
Ndo nataka tumfanyie mambo maana anamilikiwa na KABENIKUMI![]()
![]()
mdogo wangu huyo
unaziboost na tiba ya chumvi tu hakuna KingineJe ukiwa umejichunguza na kubaini Nini yakupasa kufanya ili Mambo yawe pouw msaada tafadhari Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tiba ya chumvi ipoje au ni mambo ya kirohounaziboost na tiba ya chumvi tu hakuna Kingine
Hiyo tiba ya chumvi ipoje au ni mambo ya kiroho
Umeandika vizuri mganga mshana.
But "our energy introduce us before we even speak"
Only spiritual people will easily understand my point of view.
marehemu wengi hurejea sehemu walizofia? Anza na hiyo
.![]()
Upungufu wa kinga za kiroho
Wengi tunapoongelea neno KINGA tunapeleka mawazo yetu moja kwa moja kwenye mipira ya kufanyia ngono yaani kondomu. Lakini wengine watadhani ni kinga dhidi ya maradhi ama kinga dhidi ya ajali barabarani na wezi majumbani huku wachache wakiwaza kinga dhidi ya watoto nknk. Akitokea mmoja...www.jamiiforums.com
Upungufu wa kinga za kiroho