Tatizo hapo ni viongozi wa vyama kurubuniwa na kukubali na hila za baadhi ya viongozi wao ili wapate upendeleo kazini. Mambo kama haya yalifanywa sana na Richard Masika wakati fluni apokuwa Chuo cha Ufundi Arusha. Alikuwa anarubuni viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kupata zawadi za ufanyakazi...
Hakuwa na jinsi ila kwa ukweli Mahakama ilipatwa. Kuna mtu anaitwa Moses Mzuna eti naye ni Mheshimiwa Jaji!
Yaani yeye mwenyewe ni tatizo zaidi ya kutatua migogoro ya kesi anazotakiwa kuamua. Haijulikani vigezo vilivyotumika kumfanya kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Hapo umenena ndugu, CCM inaweza kuwa janga la Taifa kwa sababu mambo muhimu kama haya yaliwekwa katika katiba pendekezwa ya Warioba lakini maSISIem yalikataa sababu ya kujali matumbo yao tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.