lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,154
- 33,360
Shauri yako wewe furahi kila unapofurahishwa,maisha yenyewe yako wapi?Ni kweli but mjue bado mko safarini
Je tusipofikia huko fainali tubaki kimya tu?
Hata hivyo Mimi Nina furaha mara mbili
Kwa nchi kuwa huru
Na ushindi wa Simba.
Wewe unatushauri tunune wakati tunaona magori yanaingia? Ngumu hiyo.