Simba mjifunze kwa Mzee Baba aliyekuwa na majigambo akaishia kuangukia pua, hata nyingi mnaweza kuangukia pua dakika za mwisho

Ni kweli but mjue bado mko safarini
Shauri yako wewe furahi kila unapofurahishwa,maisha yenyewe yako wapi?
Je tusipofikia huko fainali tubaki kimya tu?
Hata hivyo Mimi Nina furaha mara mbili
Kwa nchi kuwa huru
Na ushindi wa Simba.
Wewe unatushauri tunune wakati tunaona magori yanaingia? Ngumu hiyo.
 
Kumbe na wewe ni wale wa matopeni, umefanya vizuri kuacha ushabiki utaishi kwa amani sana.
 
Ushauri mzuri sana
Hakuna kitu anateswa na wivu tu!! Eti siku hizi kspunguza ushabiki wa soka, sema utopolo hawakupi ubavu wa kusha imis soka!! Tunachozungumzia Ni kufika mbali kwenye mashindano!! Malengo ya mwaka huu Ni kufika nusu fainali!!
Tatizo utopolo wakiingia hatua ya makundi Ni lazima wavute mkia kwenye kundi!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.
Mkuu, endelea na siasa huku achana nako. Sio eneo lako.
ukiona mtu anadai kapunguza ushabiki ujue ni utopolo huyo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kila mliloomba limebuma, mnaanza kuona simba wanajidai
N sawa katika utafutaji mtu mliyefahamiana (rafiki) katika umasikini anapofanikiwa we ukiwa katika hali ya njaa/umasikini hata akipita pasipo kukuona unaanza sema jamaa anajisikia na propaganda kibao kumbe sivyo ilivyo
Nnachokiona kutoka kwa ndugu muandishi ni kwamba ungependa simba washindwe kusheherekea ushindi walioupata na kufanikiwa kuongoza kundi lililoonekana gumu/kundi la kifo
 
Huwa mnafungwa hivi hivi kwa kujiamini kwenu na kujikuza kupita kiasi.
Bingwa ni mmoja tu , sio simba pekee itaangukia pua ,ni simba na club nyingine 14 kati ya 16.. Hilo halituzuii sisi kufurahia , tulikua na melengo ya kufika robo tumefika , sasa tunaangalia tutapewa nani tulale nae mbele kwa mbele , tukutane nusu final
 
Draw ya mabingwa ni tarehe 30 April.Utopolo wanateseka. Nugaz alisema kweli rekodi itawekwa tena na Simba Jamaa yupo Uto kimaslahi.Tunaomjua Nugaza tunajua ni mnyama. Anaitwa Nugaza Juma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom