Recent content by nguriti

  1. nguriti

    Anayetaka kumuoa ana watoto 3 wako kwa baba yao. Je, aghairi au amuoe?

    Muoe tu kwani watoto si wapo kwa baba yao?
  2. nguriti

    Yu wapi kachero mbobezi Bernad Membe?

    Atakuwa keshazeeka
  3. nguriti

    Tuliambiwa kuwa kufikia wiki ya pili hali itakuwa hatari hii nayo wiki ya pili inaisha hali iko kawaida kweli media ni kansa ikitumika vibaya

    Unaonekana wewe ndiye mpumbavu kushabikia bashiri za kichawi as if upo nje ya Tanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nguriti

    Tuliambiwa kuwa kufikia wiki ya pili hali itakuwa hatari hii nayo wiki ya pili inaisha hali iko kawaida kweli media ni kansa ikitumika vibaya

    Wagonjwa waliokimbia walikuwa wangapi? Na hizo maiti walizotoa zilikuwa ngapi? Tangu umeanza kutembea mtaani umeokota maiti ngapi? Acha upumbavu kushabikia mambo ya kipumbavu taahira mkubwa wewe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. nguriti

    Pafyume za Haji Manara na body spray za mwana FA zimeishia wapi?

    Za manara hazikuendelea kwasababu alitapeli -
  6. nguriti

    Kipanya na Simba na Yanga

    Huyo jamaa hata mm nimemdharau tangu siku ile matokeo yawe tofauti na utabiri wake -
  7. nguriti

    Afisa Habari wa Yanga: Tumejiweka vizuri katika mbio za ubingwa VPL

    Hilo jamaa halinaakili kbsa chchte a anachosema Manara lina amin...mdomo mtupu mpira halijui -
  8. nguriti

    Afisa Habari wa Yanga: Tumejiweka vizuri katika mbio za ubingwa VPL

    Bado unakiwewe cha mpini mmoja wa nguvu wa tarehe 8 , kwa kipi hakiwezekani kwenye mpira? -
  9. nguriti

    Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

    Nanyie punguze kulalamika! Mbona hakuna ubaya wowote katika maongozi yake ? -
  10. nguriti

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Akutafute wapi zaid ya hapa..wengi tunataka kujua kuhusu hilo ni vyema ukaeleza hapa hapa -
  11. nguriti

    Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

    Je kununua mechi na marefa hakuwaibishi? -
  12. nguriti

    Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

    Wewe ni nani? Wcha ujuha na umbumbumbu wako! Nendeni makanunue marefa mpate ubingwa achaneni na mambo ya Jirani mapunguani nyie -
  13. nguriti

    Mungu nikutanishe na Yanga SC huko Mapinduzi Cup

    Timu kubwa inayotolewa jasho na timu ya midizini? Goli moja dakika 90 mmeshindwa kurudisha? Aliyewaologa amefariki mtaendelea kuwa mambumbumbu milele -
Back
Top Bottom