Pafyume za Haji Manara na body spray za mwana FA zimeishia wapi?

KAMA ZILE fa ndo za mwana fa basi kajitahidi mno kufikisha bidhaa zake kwa jamii, sijajua kwa mikoani ila kwa dar kajitahidi mno, akifeli na hilo basi ni uzembe wake
 
Haji anawatukana wana yanga kila kukicha unadhani shabiki wa yanga ataenda kununua? Awahamasishe wananchi wakashibikie timu yao huku wakinukia unyunyu wake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom