Recent content by ngumi nzito

  1. ngumi nzito

    Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo yupo chini ya ulinzi wa polisi muda huu

    Dah mkuu umewaza mbali sana inavyo onekana [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
  2. ngumi nzito

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mi niko Arusha umeme kwangu umekata tokea mchana jirani angu tunaeshea line anao naomba mje kunirekebishia, niko makao mapya jengo ni LIMPOPO karibu na KEN GARDEN. naomba sana
  3. ngumi nzito

    My weather kaniacha mdomo waz

    [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji115]
  4. ngumi nzito

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Juzi nimekasirika sana baada ya kwenda tanesco na kuchukua savea mita kama 30 kutoka kwangu umeme upo. Jamaa hata kushuka kwenye gari hajataka kaniambia hatupimi nguzo huku subiri mradi ukija, sa nawauliza tanesco mnatusaidia au ni biashara mnafanya, sawa nakubali Kuwa mradi utakuja ila Kwa...
  5. ngumi nzito

    Pafyumu gani ni nzuri kwa wanawake na wanaume?

    Iko moja inaitwa Cobra kama utakua mhenga utakumbuka hii ni balaa mkuu
  6. ngumi nzito

    Ni nani alijenga Ikulu ya Dar es Salaam Tanzania?

    Jamani mie mshamba kwani picha hiz ni halisi au zimechorwa kulingana na story?
  7. ngumi nzito

    Tatua tatizo la uume mdogo

    Hahahahahaha
  8. ngumi nzito

    Tatua tatizo la uume mdogo

    Watanganyika wenzangu hivi nani katuloga? Niliwahi kusema hicho ni kiungo cha chakula watu bado mwataka kuona mabadiliko ya maumbile, hapo ni sawa na kusubiri meli ubungo.
Back
Top Bottom