Ninamkumbuka sana kwa namba 24,25,26, 38, 41 na 43. Hakika kwangu ni Rais bora kwani nimeishi kipindi chake tangu nasoma, naaanza kazi, naoa mpaka sasa nina mjukuu.
Upo kaka! Mwamba alitubeba sana; sasa kawabeba Waarabu. Huyu alipaswa kuondoka Congo at the age of 23 kisha aje Tz at that age apige soka kwa miaka 3. Sasa alipaswa kuwa Ulaya ila ndo yuko Afrika na umri umeshaenda.
Goal poacher wa kariba ya Ruud Van Nistrooy. What a good game for him!!!!!?
Teh teh teh! Ulipowataja hawa nimemkumbuka babu McAllister, alitubeba sana miaka ya 2000 mwanzoni hasa kwenye kombe la Washindi la Ulaya-Europa Cup. Nafikiri alitokea Coventry ana asili ya Ireland.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.