Recent content by ngulusavangi

  1. ngulusavangi

    Awamu ya kwanza: Tujikumbushe enzi za utawala wa Rais Julius Kambarage Nyerere

    Uwaziri kwa Magufuli ni wa mkataba, safi sana hata Albino sasa watapona. Uwaziri ukiwa wa kujinufaisha, wabunge wanenda kwa waganga kusaka nyota.
  2. ngulusavangi

    Magufuli ataweza kuitosa CCM?

    Mhe. Magufuli hana haja ya kufanya kampeni ya hasara elfu 2020, kwakupitia vyombo vya habari ataomba kura. Hakuna haja ya kuzurura kuomba kura wakati utendaji wake unaeleweka.
  3. ngulusavangi

    Rais Magufuli acha kumdhalilisha Kikwete

    The secret of being at the top, don't swindle.
  4. ngulusavangi

    Lumumba hapakaliki, CCM kwafukuta

    Sisi Wakwere tuna methali isemayo : kidege che sikiumanyile ulimbo kigwilaga na mabawa gose. Yaani, ndege asiyeujua ulimbo, hunaswa na mabawa yote. Ndege kanaswa, dawa yake ni kuliwa tu!
  5. ngulusavangi

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Kama alivyosema, mumsadie ; sasa fichueni vichaka vyote!
  6. ngulusavangi

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Mwaka huu mtasema yote, mpaka mje kuizoea kasi!
  7. ngulusavangi

    UKAWA tumuunge mkono Rais wetu Magufuli

    ANAKONDA mnamjua? kuozea tumboni ni 2017 wala si mbali.
  8. ngulusavangi

    "UKAWA" Watawezaje kuwawakilisha wananchi katika majimbo yao kwa staili hii?

    Chama kitakufa kifo cha kawaida, days are numbered, just wait.
  9. ngulusavangi

    Rais Magufuli: Fedha za hafla ya Bunge zinunue vitanda Muhimbili

    Mnamjua yule nyoka mkubwa duniani, ANAKONDA, kwa Kauli mbiu hapa ni kazi tu, yaani mmemezwa wazima wazima. Mafisadi wote wataoza, kwa sasa wanafurukuta wakati ANAKONDA ndo kisha meza hivyo. Bye bye ufisadi, bye bye rushwa n. k. Watakao isoma namba si wapinzani peke yao, CCM walio mafisadi ndo...
  10. ngulusavangi

    Nini kimemsibu Anne Kilango?

    Baniani mbaya kiatu chake dawa
  11. ngulusavangi

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Hakuna cha ajabu, tumesahau kwamba viongozi ni wstumishi wa wananchi, aaahaa! ndio maana kupata uongozi mpaka muhongeee, basi kwa Mhe. Magufuli mmekula wa chuwa - hapa kazi tu, no luxury.
  12. ngulusavangi

    Ni kitu gani anachojutia Rais mstaafu Kikwete?

    . Mhe. Magufuli anatumua formula na experiment lab, baada ya hapo anatoa maagizo. Jk yeye alikosa fomula, yeye ni mtu wa art alijitahidi kumtengenezea Mhe. RAIS atafanya vizuri sana ;tumpe muda, tugange yaliyopo na yajayo.
  13. ngulusavangi

    UKAWA kususia Bunge la 11 linaloanza Jumanne ijayo!

    Ingawa nchi mbili Zanzibar na Tanzania bara tumeungana lkn kimtazamo tunatofautiana sana. Mbara anaangalia alama za nyakati, Mpemba yeye liwalo na liwe ilimradi CUF ishike.
  14. ngulusavangi

    Hii kasi Ya Mh Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania itasababisha Ndoa nyingi kukumbwa na Usaliti.

    Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi wenyewe, mazoea yana taaaaaaab!
Back
Top Bottom