Huna akili nzuri
Hana akili nzuri kwavile kasema Kilango kaolewa na mgogo?
Huna akili nzuri
Jamaa aliletwa huko ili kuharibu ushindi wa ukawa, kazi ameshamaliza anarudi kuchunga ng'ombe.Mkuu unashangaa. Siasa za bongo Ukiwa point A hufai kabisa wewe ni mchafu najisi (unfit for human consumption) lakini ukihamia point B wewe uko msafi halali kabisa! Jamaa alisema hawa jamaa nawajua vizuri sana ni wezi wa kura lakini msihofu nyinyi lindeni kura za wabunge lakini zangu (urais) niachieni mimi mwenyewe. Lakini baada ya kura jamaa akawa wa kwanza kupiga kelele kwamba ameibiwa kura. Jamani si alituambia tulinde za ubunge za urais tumwachie mwenyewe?
Jamani taratibu na kiingereza chenu hicho!I get it but once you look at it, you cant escape the irony and the foolishnes of it all.
Do you get the logic behind his statement? Au unakurupuka tu?
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?
Huyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?
Jamani taratibu na kiingereza chenu hicho!
Ataachaje kurusha matusi wakati alizoea kula kulala kwa ma mdogo.Ndio maana Le Mutuz anarusha maneno mbofu mbofu.
labda amejitokeza mbora zaidi yakeHuyu mama alijipambanua kama mpambanaji dhidi ya ufisadi na kujizolea tuzo ya mwanamke jasiri zaidi lakini kwa mshangao wa wengi wapiga kura wamemzuia kuingia bungeni nini sababu za kuanguka kwake?
Subiri - soon utaelewa kama ni bangi au viroba, kama hauamini muulize Wenje au Kiwia.
Ataachaje kurusha matusi wakati alizoea kula kulala kwa ma mdogo.
Sasa baba mama mtoto watakuwa wanajazana sebuleni wakigombea remot ya tv kumwangalia Sugu akimwaga nondo bungeni.