Kozi nyingi zilianzishwa kwa ajili ya biashara hazina uhalisia unakukuta majina ya degree ni tofauti lkn content ni ile ile hakuna haja kuwa na utitiri wa degree ambazo content inafanana
Ni mchezaji ambaye hata kama ni mfungaji bora anapaswa aachwe au atafutwe namba 10 mwingine aanzie benchi , hana creativity, hana speed , anachelewa kufanya maamuzi, mbinafsi anataka afunge yeye tu , upigaji wake wa faulu hawashirikishi wenzake angalau wafahamu anapiga moja kwa moja au anapiga...
Tatizo la Simba kwa upande wangu sio kocha, tuna wachezaji wana quality ndogo . Pia club ya Simba inapaswa iangalie mfumo wake wa uchezaji kwasababu makosa yanayofanywa na timu ya wakubwa ndio Yale Yale yanayofanywa na timu ya under 20 na Simba queen
Kwenye inshu ya tactical na technical organisation kwenye Mpira , ubunifu wa kocha hakuna kiti pale halafu huyu pia ana kaunzanzibar Fulani kwenye kuita na kupanga kikosi. Naunga mkono hoja 100%
Tatizo la Simba sio wachezaji kuna tatizo kwenye mfumo wa ufundishaji na falsafa ya uchezaji wa timu licha ya kuwa na wachezaji quality ndogo. Makosa yanayofanywa na under 20 ndio Yale Yale yanayofanywa na Simba queen na hii ya wakubwa
Tunachotakiwa tutambue ni kwamba 1. Kuna mwezi mmoja tu unayoizunguka dunia Na dunia inalizunguka jua 2. Mwezi unaweza kuonekana sehemu Fulani na sehemu nyingine usionekana kwasababu mbalimbali kama vile mawingu 3.Dhana ya kuseme huu ni mwezi wa kitaifa ni dhana potofu, hakuna mwezi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.