Kwa hili kati ya wewe na Sanane wewe ndiyo huna hoja. Hivi ilikuwaje wakakupa nafasi nyeti hivyo ya uongozi ccm? Au ndiyo ukweli wa jinsi mlivyofilisika? Huna tofauti na Hawa Ghasia aliyesema bungeni bila aibu kuwa CHADEMA wanataka vurugu Arusha ili watalii waahamie Kilimanjaro. Hivi vivutio vya...
Amewashinikiza malaigwanani kwa kutumia mbinu zipi? Amewaambia nini? Itakuwa vibaya sana kuwaondolea wazee wetu heshima kwa kuwashinikiza waandamane wakati wanajua dola ndiyo wauwaji. Ongea nahuyo baba yako mdogo akwambie kimepangwa nini ili watu waamue jinsi ya kukabiliana na tukio hilo...
Tuache unafiki. Mtu muuaji na aliyejaa chuki kama huyu hatuwezi kumuombea alale pema. Na hamna asiyejua kuwa wote tutakufa. Mtu katili aliyetia watu vilema kwa kuogopa mabadiliko ni sawa na dikteta kama iddi amin. Kifo chake ni faraja.
Alizungumza wakati CHADEMA wakiwa hawapo bungeni na alipunguza kasi alivyojua kwa uhakika kuna video. Hivi hushangai polisi wametoa dau kubwa yaani shs milioni 100 kwa ushahidi wowote ule na mpaka sasa hajatokea mtu yeyote kutoa taarifa? Walifikiri watapata wasaliti CHADEMA wakutoa siri. Acha...
Ni wazi kwamba hujui maana ya UHURU. Nchi huru haiuwi raia wake wanaodai haki. Nchi huru inaheshimu maoni ya wananchi wake wote na siyo wachache wanaoitikia kila jambo hata kama ni la uonevu. Waziri mkuu wa nchi huru hawezi kuwaamuru askari wapige tu watu wake kwa kuwa yeye kachoka kuongoza...
Umaarufu wa CHADEMA unatokana na nguvu za Umma. Viongozi wa CHADEMA ni waalimu. Wanafanya ile kazi ambayo aliianza Mwalimu Nyerere ya kuwapa uelewa wananchi. Dr Slaa ni muhimu kama ulivyosema na ni wana CHADEMA ndiyo wanajua umuhimu wake kuliko wengine wote.
Mbona viongozi wote wa CHADEMA wanasikika kwa nafasi zao tofauti? Hii inakaa kama wazo la ccm la kuwaogopa zaidi Dr na Tundu Lissu. Kuanza kupandikiza mawazo ya kuwagawa wanachama kwa kutumia viongozi wao siyo kujenga bali kubomoa. Hayo mapendekezo mengi yameshafanywa na yanaendelea kufanywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.