Ndiyo mkuu.. nilipata msaada wa kutosha na chaguzi nililolifanya ni sahihi kwangu.. imagine saiv napiga codding na niko hapa UDSM 💪..
Kumbe business information technology sio technology ndani ya biashara, bali ni biashara ndani ya technolojia..
Yaani tunapiga asilimia 98 ya IT na asilimia 2...
Mkuu najiamini sana tena hii kozi naipenda sana.. huu uzi niliuleta mwaka jana mwezi wa kumi kipindi cha kuchagua kozi, naona wewe umechelewa kuuona huu uzi
Ndiyo mkuu.. imagine nimeweka buku na ningepata 48000,
Sema zilikuwa mechi nyingi kama 15 hivi, na bahati nzuri zote zimetiki isipokuwa tu hako ka shetani😈
wakuu habarini za muda huu..
Wakuu niliuweka mekeka na niliweka double chance either moja ashinde kama inavyoonekana hapo chini.. nashangaa hicho kialama chekundu kipo.. imekuwaje kuweje wakuu wakati hizo timu zimefungana tatu kwa nne..
Mkuu, yaani ni hivi, huku kwetu kuna tabia fulani hivi, ikitokea mdada ameolewa akiwa na mtoto wa kike, huyo mtoto anapendwa sana na familia ya hapo alipoolewa kwa sababu baada ya siku huyo mtoto ataolewa..
Ikitokea mdada ameolewa akiwa na mtoto wa kiume, kuna mawili yanaweza kutokea; either...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.