Mzazi mwenzangu ameolewa, nifuate hatua gani nimchukue mwanangu?

Mkuu mtoto ni wangu, yaani tunafanana hadi keroo.. halafu istoshe, yule aliyemuoa alikuwa nje ya nchi, amekuja pale amemkuta mwanangu anatambaa..

We niambie tu kama mahakama inaweza kunielewa .
Mkuu kufafana na mtoto sio kigezo cha uhalali wa mtoto,,
Kitendo cha kukatiwa mawasiliano ya simu na mama mkwe,, pengine kuna Jambo zito nyuma yake.

Dawa ni kuachana na hiyo family na kuangalia Mambo yako.

Damu haipotei mkuu.
 
kigezo cha dini mkuu uwe mkristo au muislam mtot wa nje ya ndoa ni wa mwanamke ww ni sperm donor tu.
Africahatuishi kwa vigezo vya dini bali tunaishi kwa Mira na tamaduni zetu za Afica kuna Baba mtoto na Baba mlez
 
Pole sana...

Mtoto ni wa mama unless or others it will be proven mama hana huwezo wa kumtunza...
 
Ma mkwe hakupokea simu aliogopa dhambi huyo mtoto anaweza kuwa na wababa hata kumi.

Kama ni wako atakutafuta hata akiwa na mvi.

Kwa sasa jipange kupata watoto wako wa ndoa
 
Mku ndani ya miaka 4 umeshachangia chochote kwenyemakuzi ya huyo dogo ? Kama ulichangia tuma wazee ijulikane ni damu yako na pia huchukue majukumu ya kule.
 
Back
Top Bottom