Mtoto sio maembe kuwa yakikomaa tu unayakuta yanauzwa.Mtoto mwenyewe ndo kafikisha miaka minne, ila nilikuwa na mpango kwamba akifikisha miaka saba hadi kumi hapo niende nimchukue kijana wangu, nipo tayari kulipa fidia zote. Vipi hili mahakama inalichukuliaje???
Usisubiri miaka 8. Tumia wazee uangalie namna ya kuwa na ukaribu na mwanao kuanzia sasa.Asante mkuu..
Wakuu habarini A muda huu, nina jambo moja linalonitatanisha.
Hapo nyuma, miaka mitano iliyopita, nilikuw katika mahusiano na mdada mmoja kipindi nipo shule, ila yeye alikuwa hasomi, mahusiano yetu yalikuwa ya wazi pande zote mbili (kwa wazazi wake na wazazi wangu).
Hamna chuki yoyote iliwahi kutokea, kwa kweli tulipendana sana..
Utani ulikuwepo kati ya wazazi wetu mara ooh, mwanangu atamuoa mwanao😃, mara ooh.. ko ndo kama hivyo.
Katika safari yetu ya mahusiano, TULIFANIKIWA KUPATA MTOTO WA KIUME.
ko mambo yaliendelea vizuri tu..
Kulingana na mie kupangiwa shule mbali ma nyumbani, tulikuwa mbali kwa kweli, kiasi kwamba kuonana kulikuwa vigumu.
Baada ya muda tu, kitu kama miaka miwili baada ya mie kuenda shule, nilipewa taarifa kwamba huyo mdada kaolewa, kitu ambacho kiliniumiza sana, kwa kuwa nilikuw shule na mtihani ukikaribia, nilijikaza kisabuni na kuvumilia kikondoo..
Siku baada ya siku, mawasiliano yalianza kufifia kwa maana sikutaka kumharibia ndoa yake.
Mamkwe naye alikuwa anakata simu yangu kila nilipompigia..
Kwa kuwa yule mtoto alibaki pale kwa bibi yake, nilitaka nitume matumizi madogo madogo, lakini kila nilipompigia yule Mamkwe simu, alikuwa hapokei.. siku zilienda mpaka mtoto kafuatwa na mamaake, hadi saa mtoto yupo na mamaake na babaake huyo mpya.
Swali langu,
Je! kisheria naweza kuchukua mwanangu hata kama mama yake hayupo tayari kunipa mwanangu???
Na vipi, kama ndiyo, hatua gani za kufuata??
MSAADA wenu wakuu..
Natanguliza shukran
Mtoto sio maembe kuwa yakikomaa tu unayakuta yanauzwa.
TUMIA BUSARA NA MBINU YENYE AKILI UJENGE MAHUSIANO BORA KWANZA NA MWANAO. MTOTO AKUKUBALI KAMA BABA.
Miaka saba hadi kumi umchukue unadhani ni rahisi kwake kutengana na mama yake aje kwa stranger ampende ghafla tu amuite baba?
Hatua ya kwanza tuma wazee wenye busara kwa binti wakaipiganie damu yenu kwa kufuata taratibu huku wewe ukiangalia namna angalau kila weekend upate hata dk 5 za kumuuliza mwanao kama hajambo. USIANZISHE VITA YA WAZI WAZI MAANA HUTASHINDA. VITA IWE YA KIMYA KIMYA SANA NA UWE NA SUBIRA.
Nimewaza hivyo hivyo. Jamaa anatakiwa apime DNA uenda mtoto si wakeMkuu pole sn kwa changamoto uliyonayo.
Lakini mm nataka nikupe code 1.
Nina 99% pengine huyo jamaa aliyeoa mama mtoto wako ,,ndy mwenye huyo mtoto unayelalama ni wako.
Wanawake sio watu wazuri.
True, na stage 3 ya kuzingatia ni huyo mtoto ana mahusiano gani na yeye kukubali hiyo stage 2 bila madhara ya kisaikolojia.Anamchukua Ni stage 1, anampeleka Wapi Ni stage 2; stage 2 is more important than 1
Mkuu, yaani ni hivi, huku kwetu kuna tabia fulani hivi, ikitokea mdada ameolewa akiwa na mtoto wa kike, huyo mtoto anapendwa sana na familia ya hapo alipoolewa kwa sababu baada ya siku huyo mtoto ataolewa..True, na stage 3 ya kuzingatia ni huyo mtoto ana mahusiano gani na yeye kukubali hiyo stage 2 bila madhara ya kisaikolojia.
kigezo cha dini mkuu uwe mkristo au muislam mtot wa nje ya ndoa ni wa mwanamke ww ni sperm donor tu.Duu, mtoto si wangu kivip mkuu??
Umetumia kigezo gani boss??
Kama hukumtunzausijisumbue
Just mute and wait , after 10yrsWakuu habarini A muda huu, nina jambo moja linalonitatanisha.
Hapo nyuma, miaka mitano iliyopita, nilikuw katika mahusiano na mdada mmoja kipindi nipo shule, ila yeye alikuwa hasomi, mahusiano yetu yalikuwa ya wazi pande zote mbili (kwa wazazi wake na wazazi wangu).
Hamna chuki yoyote iliwahi kutokea, kwa kweli tulipendana sana..
Utani ulikuwepo kati ya wazazi wetu mara ooh, mwanangu atamuoa mwanao😃, mara ooh.. ko ndo kama hivyo.
Katika safari yetu ya mahusiano, TULIFANIKIWA KUPATA MTOTO WA KIUME.
ko mambo yaliendelea vizuri tu..
Kulingana na mie kupangiwa shule mbali ma nyumbani, tulikuwa mbali kwa kweli, kiasi kwamba kuonana kulikuwa vigumu.
Baada ya muda tu, kitu kama miaka miwili baada ya mie kuenda shule, nilipewa taarifa kwamba huyo mdada kaolewa, kitu ambacho kiliniumiza sana, kwa kuwa nilikuw shule na mtihani ukikaribia, nilijikaza kisabuni na kuvumilia kikondoo..
Siku baada ya siku, mawasiliano yalianza kufifia kwa maana sikutaka kumharibia ndoa yake.
Mamkwe naye alikuwa anakata simu yangu kila nilipompigia..
Kwa kuwa yule mtoto alibaki pale kwa bibi yake, nilitaka nitume matumizi madogo madogo, lakini kila nilipompigia yule Mamkwe simu, alikuwa hapokei.. siku zilienda mpaka mtoto kafuatwa na mamaake, hadi saa mtoto yupo na mamaake na babaake huyo mpya.
Swali langu,
Je! kisheria naweza kuchukua mwanangu hata kama mama yake hayupo tayari kunipa mwanangu???
Na vipi, kama ndiyo, hatua gani za kufuata??
MSAADA wenu wakuu..
Natanguliza shukran
True, na stage 3 ya kuzingatia ni huyo mtoto ana mahusiano gani na yeye kukubali hiyo stage 2 bila madhara ya kisaikolojia.
Maana anaweza akawa analalamika .Nimewaza hivyo hivyo. Jamaa anatakiwa apime DNA uenda mtoto si wake
Case closedMkuu pole sn kwa changamoto uliyonayo.
Lakini mm nataka nikupe code 1.
Nina 99% pengine huyo jamaa aliyeoa mama mtoto wako ,,ndy mwenye huyo mtoto unayelalama ni wako.
Wanawake sio watu wazuri.