Recent content by ngoshwe

  1. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

    Umepona?
  2. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya upande wa kushoto

    Wakuu Kwa wiki moja sasa nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ambayo sio makali sana mkono wa kushoto na ukiinua mkono na kuubana kwenye eneo la kushoto ambapo kuna moyo, unahisi kama kukosa pumzi vizuri. Nimepima vipimo vingi ikiwemo ECG na ECO lakini hakuna kilichoonekana na maumivu bado...
  3. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua dawa ya kichomi

    Umepona?
  4. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Presha yangu inasoma 165/110..Naombeni ushauri

    Hofu ya nini? Unaweza kuhofia kufa na, ukafa kweli..
  5. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Hii milipuko inayosikika eneo la Ubungo ni nini?

    Hii milipuko inayosikika eneo la Ubungo ni nini?
  6. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania vitu vinatembeatembea mwilini

    Shukran sana
  7. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania vitu vinatembeatembea mwilini

    Wakuu salamu. Kwa muda wa zaidi ya miaka saba sasa nimekuwa nikisumbuliwa na mauzauza mwilini. Najisikia vitu vinatembeatembea mwilini na mwili unawaka moto, pengine kama vichomi na hivi karibuni presha ilianza kupanda na kila ninapoamka muda wotewote miguu inakuwa kama inakamatwa na baadae...
  8. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Presha kuwa juu/ shinikizo kubwa la damu

    UZITO WAKE NINI? ELEZA KUSAIDIA WENGINE
  9. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Nimekutwa na tatizo la presha, msaada tafadhali wa dawa za asili za kutokomeza hii pesha

    UNAWEZA KUSAIDIA WENGINE KWA KUWEKA HAPA?
  10. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Serikali imefanikiwa kuzuia uamuzi wa kuzilipa kampuni za madini

    Kupitia mtandao wa ICSID kuna taarifa za kutia moyo kuwa Katibu Mkuu wa ICSID amesajili maombi ya kubatilishwa kwa tuzo yaliyowasilishwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maombi hayo, ICSID imesitisha kwa muda utekelezaji wa tuzo iliyotolewa dhidi ya Tanzania kwenye kesi iliyofunguliwa...
  11. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

    Usipotoshe watu kwa masilahi yako. Lete video yote humu. Shida yetu watanzania hatujiongezi zaidi. Lete hapa habari kamili. Kesi ilikuwa inahusu nini na hoja za wenzetu zilikuwaje na sisi tulitoa utetezi gani?. Naona hao kwanza wamejitahidi mno. Na sijui kana kesi hiyo inayotajwa ndio hiyo...
  12. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua sababu ya tatizo la kizunguzungu

    Suluhu ilipatikana?
  13. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ni Usanii au Ufisadi?

    Wamefikia wapi hilo la Taifa?
  14. ngoshwe

    JamiiForums Tanzania Kichwa kuunguruma kwa mvumo

    Anaipataje hiyo Dawa? na Kiasi gani bei?
Back
Top Bottom