nkonges100
Member
- Sep 27, 2015
- 12
- 2
Habari za asuhuh jamani nina tatizo la kizunguzungu kila ninapo fanya shughuli yoyote kwa muda nini shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Akinywa maji mengi ndio yatakayo weza kumsaidia kuongezeka kwa damu? Pasipo na kutumia dawa zingine?Uko na damu kidogo, pia kunywa maji mengi sana yasiopungua pita 3 kwa siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za asuhuh jamani nina tatizo la kizunguzungu kila ninapo fanya shughuli yoyote kwa muda nini shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Isije kuwa unasumbuliwa na vertigo.