spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,531
Wewe una umwa nini isije ikawa angina unasema kichomi
Nenda hospital kushoto ndo kunao moyo inawezekana hio ni angina pectorisKinauma usawa wa kwapa mkono wa kushoto hadi na mkono unakufa ganzi hivi maumivu makali siwezi inama wala kupumua kwa nguvu
Umechanganya na heartburn majivu yanasaidia sababu ni base yale na heartburn ni reflux ya acidKama haikuumizi sana tulia ikutandike itaisha yenyewe mimi nilishalishwa had majivu lakin wapi wa Tz waongo sana
Umegongelea kwenye msumari na ndio tabia yangu hii mkuu na imenigharimu so huku nilipo ni mwendo wa kula nyama ya mbuzi mda wote na kuongeza chumvi sanaSababu ya kichomi huwa ni chumvi, usimwagie chumvi mbichi juu ya chakula ukiweza kuepuka Hilo kichomi kitabakia historia kwako, yaani ukiagiza mishikaki usinyunyizie chumvi Kwa juu, pia chips usifanye hivyo na vyakula vingine Kwa ujumla. Matokeo utaanza kuyaona baada ya wiki make kwenye damu bado Una chumvi nyingi Leo vumilia tu.
Fata ushauri huo baadae utakuja kunishukuru.U
Umegongelea kwenye msumari na ndio tabia yangu hii mkuu na imenigharimu so huku nilipo ni mwendo wa kula nyama ya mbuzi mda wote na kuongeza chumvi sana
Pole mkuu relax.. Akikisha unapata oxygen ya kutosha yaan jitahd kuvuta hewa, najua itakua kaz kwasabu ukivuta utahisi maumivu.. 😔Habari za usiku wa jf usiku huu mwenzenu nashindwa kulala naombeni dawa ya kichomi ni dawa gani unitumie Maana sijawahi umwa kichomi hivi
Mojawapo ya hizo nilipofika hospital now nipo SawaPole mkuu relax.. Akikisha unapata oxygen ya kutosha yaan jitahd kuvuta hewa, najua itakua kaz kwasabu ukivuta utahisi maumivu.. 😔
Then tafuta ampiclox na pain killer kama brufen kama hauna vidonda vya tumbo, (hii itasaidia kama ni imetokea kwasababu ya infections, na hizi dawa ni rahisi kuzipata OT, kwny hata duka la dawa kwa sasa..
Au tafuta aspirin.. Kama ni angina itasaidia.. 😔
Umepona?Thanks kwa hili nipo nimekunywa dawa
Mojawapo ya hizo nilipofika hospital now nipo Sawa
Kapime madonda tumbo hiyo nimoja yadalili zake pia acha kula. Vyakula kukobolewa punguza chumvi kunywa maji vuguvugu na toboa mayai mabichi meza ujiuji wake nakushauri kama nikama nivyofikiria huenda ukipima pressure ikawa ipo usikubali kutumia dawa zake kunywa maji mengi tuHabari za usiku wa jf usiku huu mwenzenu nashindwa kulala naombeni dawa ya kichomi ni dawa gani unitumie Maana sijawahi umwa kichomi hivi