Watu wengi wanaomsapoti chalamila ni matofali yaan hua hayasafiri hata yakisafiri mpaka yapakiwe ndo maana hayajui ni kiasi gani sisi tunao safiri kira mara. Hao wenye mabasi wanatusaidia kutufikisha mjini..Kwanj basi likinishusha shekilango kuna shida gani au tunafanyiana roho mbaya tu
Ila kama una mda kushiriki mambo ya kijamii kama msiba ni muhimu sana kwa sisi wabantu sema tu kuna watu sasa wanaona kila mtu lazima awepo km mko shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.