Recent content by ngosha wa mwanza

  1. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Huenda Binti ya Herode hakumaanisha kichwa kama kichwa

    😀😀😀kwamba walitaka kichwa ....a.k.a ndonga
  2. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Aina ya askari police tulio nao

    Hiyo ndula ya bwana trafic utadhani mtumbwi umepigwa na wimbi😀
  3. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kukutana na mzimu, jini au mfumo wowote wa kichawi maishani mwako

    Nilisha wahi kukutana na miale ya wachawi mwanza wanaita chenge.Ikaja dar ilikua mida ya saa tisa usiku nawahi kwenda sehem nilikutana na mazonge zonge yale yalikua majini aiseee sema kipindj kile nilikua mtu wa kanisani sana ile ndo ilinisaidia sana
  4. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania JNHPP imewashwa na ndoto za watanzania zimetimia

    Umeme sasa upungue bei kama alivyo tuahidi Hayati Jpm ...sio mnawasha harafu bei ibaki pale pale.
  5. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Je, hatua hii ni sahihi kwa mawakili wa serikali kupinga mashahidi wa Lissu kufika mahakamani?

    Mahakama zetu dah .....jeshi nalo ... Wananchi hata sehem ya kukimbilia sijui itakua wapi?
  6. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania KERO Inakuwaje mtu mwenye tiketi analazimishwa kulipia ushuru wa kuingia katika Stendi ya mabasi 88 Dodoma?

    Pale msamvu moro huu usenge upo kwa mda sasa niliamsha ugomvi pale wakanisihi tu wao ni waajiliwa wanafata maelekezo ...hata kelele za mabasi yaishie magufuli inaweza kua wanataka kuanza huo wizi pale..serikali gani inakaa kuumiza wananchi huu ni wizi wa wazi
  7. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Hebu kwanza Naomba Mwanza waitoea na waache kuiingiza mwanza kwenye mambo ya kichoko
  8. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa wamiliki wa ma bus ya mikoani

    Basi moja unapata abiria wa coster ngapi ama mnataka tena njia ijae coster?
  9. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Hii ni sawa na bei gani ya kitanzania

    Ni sawa 5 tsh usiniulieze maana hata sijui ni hela ya wapi ila thamani yake ni sh 5
  10. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Addiction ipi ina arosto kali ukiikosa hata kwa siku moja kiu yake ni ngumu kuikabili?

    Kikao kijacho cha wapiga nyeto tutakuchakua kua mjumbe wa kamati kuu ya wapiga nyeto😀
  11. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haiwezi kuondoka Madarakani

    Ushamba ndio jadi yangu wajuaji si ndio nyie....lakini na ushamba wangu huwezi kunidanganya
  12. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haiwezi kuondoka Madarakani

    kwa hiyo yale mazuzu yanao kwenda kupiga kura hua yanajichosha tu???Bora chadema wamekataa kushiriki uchaguzi wa kitaperi
  13. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Watu wengi wanaomsapoti chalamila ni matofali yaan hua hayasafiri hata yakisafiri mpaka yapakiwe ndo maana hayajui ni kiasi gani sisi tunao safiri kira mara. Hao wenye mabasi wanatusaidia kutufikisha mjini..Kwanj basi likinishusha shekilango kuna shida gani au tunafanyiana roho mbaya tu
  14. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Chalamila Ondoa ICD Mjini kama wewe Mwanaume. Acha kuonea Madereva

    Yaan dereva anatoa mawazo mazuri wateure wanalipwa kwa ajiri ya kazi hiyo hata akili hayana kukurupuka tu yaonekane yanafanya kazi ...
  15. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kwenye tendo kuna style nzuri kupita kifo cha mende?

    Asubuhi yote hii kutiana nyege dah?:,,,
Back
Top Bottom