Recent content by ngosha wa mwanza

  1. ngosha wa mwanza

    Mbunge Simai Said: Tuanzisheni bendi yetu ya Bunge. Mwana FA awe mwanamuziki, Babu Tale awe Meneja

    Yaaan uchumi wa nchi umeguswa watu wanajadili mziki 😀😀. Aisee sijui lini sisi kama nchi tutakua siliazi yaan bunge linajadili upuuzi na wakotoka hapo wanalipwa posho
  2. ngosha wa mwanza

    Mtu anayedaiwa akigusa nyeti zako zinapotea azua taharuki Tunduma

    Aende zanzibar,Tanga na dar kuna watu pumbu zao hazina kazi lenye kazi ni tundu la nyuma ..akienda huko akajichukulie pumbu za kina anko t hawana matumizi nazo.Sasa anaenda tunduma kwa wanaume wenye matumizi makubwa na vyombo vyao vya starehe
  3. ngosha wa mwanza

    Mpaka sasa Rais Samia ana njia moja tu ya kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi...

    Ushauri mzuri sana ila sasa mhusika mwenyewe ni kichwa ngumu
  4. ngosha wa mwanza

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Hili swala wanawake wawe na huruma na sisi.Mtu anaenda kukojolewa na mwanaume mwingine na akirudi na ww anakupa na some time anakuambia na hamu uninyonye huku anajua kabisa anamanii za jamaa unanyonya na bado anabeba mimba ya jamaa na anakusumbua kuilea mpaka anazaliwa mtoto harafu mtoto sio...
  5. ngosha wa mwanza

    Daladala Mbeya zagoma, wananchi walia nauli kupanda

    Sasa hao watunga sheria na viongozi ndo wenye vituo vya mafuta utegemee kuna sera ya kumsaidia mwananchi kutoka kwao yaan hapa wao ndo wanapiga hela.
  6. ngosha wa mwanza

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Kuchapiwa kunauma sana ila sasa hunyu ngosha mwenzangu hakutakiwa kufikia kuua kiumbe angetafuta nae ka binti kabichiiii akajiolea akaachana na huyo malaya akafie mbele huko.Sasa kajiua sababu ya k
  7. ngosha wa mwanza

    Nini umuhimu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

    Huu muungano ufe tu harafu sasa hao wazanzibar waende kwao wakafie huko na huku nao tuwabane hakuna kumiliki ardhi mpaka uwe mzawa yaan ni kufukuza wote panya kabisa hao. Wamefika pabaya mpaka wanatukana mashekhe wetu dah
  8. ngosha wa mwanza

    Bunge laagiza kikao cha dharura kujadili kupanda kwa bei za mafuta

    Huko zambia hawajadili walisha toa kodi kwenye mafuta kwa miezi mitatu huku mipuuzi itakutana na inaweza ikaunda na tume harafu ikaishia kupandisha mafuta ...watu wa hovyooo kabisa ..harafu macahawa humu yanaona eti ni jambo la sifa
  9. ngosha wa mwanza

    Nahitaji mwanamke mwembamba aliyenyooka

    Nilipataga kidada kimemyoka km rula dizain ya spko 2lia ebwana acha kabisa Mungu hakunyimi vyote yule dada alikua na tunda tamu yaan acha kabisa yaan niliona naweza tangaza ndoa ya pili
  10. ngosha wa mwanza

    Nahitaji mwanamke mwembamba aliyenyooka

    Dada zetu walio nyokaaaa kama rula nao wamefikiwa tumsadie kuwatag
  11. ngosha wa mwanza

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Umemaliza yote kuna watu wakiwa na vihela basi wanajifanya hawawajui ndugu subiri waumwe ama wapate shida hao hao wanakimbilia kwa ndugu ... Ww kijana saidia ndugu kuna siku usio ijua atakusaidia au atakuja saidia wanao. Mfano mm kaka yangu alinibeba sana Mungu akampenda kaniachia watoto 5 mbona...
  12. ngosha wa mwanza

    Mitandao isikudanganye, watu bado wanaoana na wapenzi waliopigika, wafupi, single mama na hata wenye tabia za hovyo

    Kuna watu bichwa ngumu sana. Yaan kabisa unaenda kuchukua mke alie tumika kisawa sawa ..bikra haipo bado ana mtoto wa jamaa ukute na kisamvu alishaliwa chuchu ni ndala bado unatoa na mahali na unatuchangisha michango ya ndoa!??ila wanaume tuna roho ngumu aisee,.
  13. ngosha wa mwanza

    Donald Trump Hitler wa Zama Hizi?

    Hitrel ....ule mziki mnene mzee yule jamaa acha kabisa isingekua Russia na marekani yule mwamba angeitawala dunia nzima
  14. ngosha wa mwanza

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Hivi kweli kuna mwanaume alie kamili kabisa hua hapigi nyeto ....ebwana na kuoa kwangu na madem wa nje ila kuna siku lazima nikumbushie bao la mkono
Back
Top Bottom