Recent content by ngosha wa mwanza

  1. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kama unaona hutaweza kuwa mtiifu kwa viongozi wako wa chama achana na nia yako ya kutaka uongozi chamani wala teuzi serikalini

    Na viongozi ambao hawaheshimu wananchi nao pia waheshimiwe yaana kuna taratibu za kuchaguliwa ww unajichagua....
  2. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Ww nyie mnaongozwa na nn..hakuna watu wenye chuki kama wazenji.
  3. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Inauma sana harafu tupo tunachekelea tu aiseee
  4. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Wangese hao wao wanaweza kukubali mtu kutoka bara awe rais hivi hawa makocho wanatunaje kwa mfano km tu ardhi kwao mbara kuipata ni ishu
  5. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania I must say, if the body of water lacks the liquidity to support a global maritime empire, you are merely sunbathing on a glorified sandbox

    Kua na nguvu pwani sio kua na nguvu kamili...Watu wa pwani ndo wanaleta kauzibe sijui hii code nimeipatia
  6. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Kama wanaufanyia hivi mti mbichi je sisi miti mikavu si ndio maana tunapotea km vijiti
  7. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Unaichapa halafu unaweka na mate😁

    Alie karibu na min me ampokonye simu tafadhari 🤣🤣🤣maana leo kavurugwa
  8. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Katika mda ambao kijana unatakiwa utafute pesa nini sasa.

    Masikini akipata anaanza kugoogle kwa nn vijana tz ni masikini huku yy ana buku 20 mfukoni🤣🤣🤣
  9. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni Shujaa wa Taifa au kajiuzulu kwasababu zake?

    🤣🤣🤣leo chawa umenichekesha
  10. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kiti Cha Urais Ndicho Kinacholindwa Kwa Jasho Na Damu Maana Ndio Nchi Yenyewe. Ukileta Ujuaji, Usaliti, Hujuma na undumila Kuwili Utajutaa Kuzaliwa

    Hebu tunyamaze tu maana hata mtoto mdogo akikusikia anaona hili jamaaa hamnazo unalinda kiti ambacho kimekaliwa kwa kutoa damu za watu kwa mtutu
  11. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Watu 3 Ambao napenda Kuwasikiliza Wakitoa Hotuba zao

    Watu wa hovyo wanazidi kuongezeka kwenye taifa hili....Aisee neema ya Mungu tu ipite😌
  12. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania CCM: Hazina Kubwa ya Vijana Viongozi

    Kuna kazi nyingi sana za kufanya ila kazi ya kua chawa ni sawa na kua choko
  13. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Ulipokwenda ugenini, tabia gani za watoto zilikushangaza?

    Sisi ndo tulilelewa na kijiji yaan popote ulipo ukikutwa unafanya kosa unakula kichapo kwa sasa jaribu kuazibu na kumsema mtoto wa mtu kama hujaishia polisi ama kuambiwa unataka kumlawiti
Back
Top Bottom