Recent content by ngosha wa mwanza

  1. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Hii ni sawa na bei gani ya kitanzania

    Ni sawa 5 tsh usiniulieze maana hata sijui ni hela ya wapi ila thamani yake ni sh 5
  2. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Addiction ipi ina arosto kali ukiikosa hata kwa siku moja kiu yake ni ngumu kuikabili?

    Kikao kijacho cha wapiga nyeto tutakuchakua kua mjumbe wa kamati kuu ya wapiga nyeto😀
  3. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haiwezi kuondoka Madarakani

    Ushamba ndio jadi yangu wajuaji si ndio nyie....lakini na ushamba wangu huwezi kunidanganya
  4. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haiwezi kuondoka Madarakani

    kwa hiyo yale mazuzu yanao kwenda kupiga kura hua yanajichosha tu???Bora chadema wamekataa kushiriki uchaguzi wa kitaperi
  5. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Watu wengi wanaomsapoti chalamila ni matofali yaan hua hayasafiri hata yakisafiri mpaka yapakiwe ndo maana hayajui ni kiasi gani sisi tunao safiri kira mara. Hao wenye mabasi wanatusaidia kutufikisha mjini..Kwanj basi likinishusha shekilango kuna shida gani au tunafanyiana roho mbaya tu
  6. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Chalamila Ondoa ICD Mjini kama wewe Mwanaume. Acha kuonea Madereva

    Yaan dereva anatoa mawazo mazuri wateure wanalipwa kwa ajiri ya kazi hiyo hata akili hayana kukurupuka tu yaonekane yanafanya kazi ...
  7. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kwenye tendo kuna style nzuri kupita kifo cha mende?

    Asubuhi yote hii kutiana nyege dah?:,,,
  8. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Mtoto kala tution ya kutosha na kafanya mtihani kama alivoelekezwa ila sisi black mambas tuna laana sio siri.Hata tukiitwa shithole country
  9. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Hahahaa ila sasa hivi ma snichi wanakazi sana wanasanukiwa mapema sana ... Hii ni salama sana tuendako mwanga unaanza kuonekana.
  10. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Hii ni tabia ya hovyo na kindezi: huendi kwenye misiba! Mbona huulizi kwenda kuona wagonjwa au wenye matatizo? Tabia za kichawi hizi

    Ila kama una mda kushiriki mambo ya kijamii kama msiba ni muhimu sana kwa sisi wabantu sema tu kuna watu sasa wanaona kila mtu lazima awepo km mko shule
  11. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kuwa na familia yenye amani, utulivu,upendo na furaha aise ni bonge moja la Burudani 😁

    Ndoa ni lile tendo na lazima uwe na mke tofautisha mahari na ndoa
  12. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kuwa na familia yenye amani, utulivu,upendo na furaha aise ni bonge moja la Burudani 😁

    Hiyo familia bila mke itakua ni nn ama unajifilimba mwenyewe na kuzaa unazaa mwenyewe 😃
  13. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Kuwa na familia yenye amani, utulivu,upendo na furaha aise ni bonge moja la Burudani 😁

    Kataa ndoa watakupinga tu 😃Ila ki ukweli kwanza kua na mke na watoto wakupendao aisee unaweza jiona ww ndo ulipewa dunia
  14. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Hii ya Leo Kali, yaani AFANDE Mafwele amempa dhamana Advocate Madeleka na kuaidi kumpeleka nyumbani kwake

    Ww ulisha wahi kwenda kupata hifadhi polisi hebu kua siliazi
  15. ngosha wa mwanza

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

    Heche shikilia hapo hapo🤣mpaka kuna magoli ya mama. Kwenye ngumi kuna knockout ya nama .... Nchi ina umama sana.
Back
Top Bottom