Nilisha wahi kukutana na miale ya wachawi mwanza wanaita chenge.Ikaja dar ilikua mida ya saa tisa usiku nawahi kwenda sehem nilikutana na mazonge zonge yale yalikua majini aiseee sema kipindj kile nilikua mtu wa kanisani sana ile ndo ilinisaidia sana
Pale msamvu moro huu usenge upo kwa mda sasa niliamsha ugomvi pale wakanisihi tu wao ni waajiliwa wanafata maelekezo ...hata kelele za mabasi yaishie magufuli inaweza kua wanataka kuanza huo wizi pale..serikali gani inakaa kuumiza wananchi huu ni wizi wa wazi
Watu wengi wanaomsapoti chalamila ni matofali yaan hua hayasafiri hata yakisafiri mpaka yapakiwe ndo maana hayajui ni kiasi gani sisi tunao safiri kira mara. Hao wenye mabasi wanatusaidia kutufikisha mjini..Kwanj basi likinishusha shekilango kuna shida gani au tunafanyiana roho mbaya tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.