Msaada, kila nikianza kufikiria Jambo fulani kwa undani zaidi nahisi maumivu makali ya Kichwa, zamani nilikua nikiwaza moyo unauma ila Sasa ni kichwa ndio kinauma.
Ushauri please.
Kwa hiyo Kuna uwezekano kukaa miaka miwili ukawa na maambukizi na vipimo vikasoma Negative? Sababu haswa ni nini? Je, uwezo mdogo wa vipimo au nini shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. nisaidie nina mwaka sasa na miezi miwili toka nitembee na binti positive wa VVU toka kipindi hicho nimekua napata dalili tofauti tofauti kama ulimi kuwa mweupe, kichwa mwanzo kiliuma sana na presha ikapanda ila kwa sasa kimetulia, kuhisi kama mitoki.
sasa nina tatizo la vipele kuwasha sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.