Hashimoodz
Senior Member
- Feb 26, 2017
- 112
- 111
Duuh... ama kweli kila mtu anaisoma namba kwa style yake. Wenzako hii miaka mitatu tumepungua uzito kwa speed ya 4G. Bila hata kwenda gym.
Kama kuna dawa isiyokuwa na madhara iwe ya kienyeji au ya kizungu ningependa kutumiaItamsaidia. hahahahah. Soma mstari wa mwisho katika thread yake anataka nini. hahahahahaha
Hyo imekaaje ...unatumia kwa siku mara ngapi na kwa muda gani ...naomba ufafanue zaidiMdalasini kijiko kimoja na asali kijiko kimoja + maji ya moto....!!!
Mmh we mbona kuna sehem (thread nyingine) umesema hujawahi hata kuona papuchi??????Dah mwenyewe tokea nimeacha mambo ya mapenzi nimeongezeka kilo asee nilikua na 68 mpaka saizi nakimbilia 80.
Inabidi nifanye usajili asee.
Ngoja nikuambie ukweli unaokwepwa na watu wengi. Kupunguza uzito ni combination ya vitu viwili 1. Mazoezi 2. Diet. Ukifanya mazoezi ya nguvu na kuacha kula vyakula vya kunepepesha kwa wingi utapungua uzito. Kuna bondia anaitwa Tyson Fury kesho tarehe moja anapambana na Wilder.Hyo imekaaje ...unatumia kwa siku mara ngapi na kwa muda gani ...naomba ufafanue zaidi
Huna haja ya dawa hata mazoezi ya jogging kwa week mara 3,weight inapungua cos mi uzito huwa unafika 75 na ushusha 69-70 after 2 weeks tu....ukikomaa after one month utakuwa kawaida tuKama kuna dawa isiyokuwa na madhara iwe ya kienyeji au ya kizungu ningependa kutumia
Uvivu jamani na ulafi.... MTU anataka dawa apungue uzito alafu still anafakamia haswaaa!!!Huna haja ya dawa hata mazoezi ya jogging kwa week mara 3,weight inapungua cos mi uzito huwa unafika 75 na ushusha 69-70 after 2 weeks tu....ukikomaa after one month utakuwa kawaida tu
Mazozezi pia kula sana matunda wanga kidogo mimi nilikua na kg 94 sasa nipo 86 naitafuta 75Habari wakuu,poleni na majukumu naomba mwenye kujua jinsi ya kupunguza kilo ,mwanzoni nlikuwa na kilo 74 ila sasa zimeongezeka hadi 87,nlikuwa natamani nirudie kilo zangu za mwanzoni ,maana kwa hizi kilo najisikia mzito na magonjwa ya kila mara,nakiri sifanyi mazoezi kabisa na naelewa kilo ni kuhusu kupunguza calories intake daily.
My condition
Nlipo siwezi kusema naweza kujipikia misosi ya kupunguza wese kama kuna dawa isiyokuwa na madhara iwe ya kienyeji au ya kizungu ningependa kutumia
Ni pm nijua namna ya kukuongeza uzitoLight kama kungekuwa na uwezekano wa kuhamisha kilo kutoka mtu mmoja lwenda mwngn ningekuomba unipunguzie hata kg10 tu,.natamani sn kuongezeka lkn kila njia inafail
Yan umemaliza....mengineyo wanazunguka tuNgoja nikuambie ukweli unaokwepwa na watu wengi. Kupunguza uzito ni combination ya vitu viwili 1. Mazoezi 2. Diet. Ukifanya mazoezi ya nguvu na kuacha kula vyakula vya kunepepesha kwa wingi utapungua uzito. Kuna bondia anaitwa Tyson Fury kesho tarehe moja anapambana na Wilder. Anakukuambia amepunguza kilo zaidi ya 50 kwa muda mfupi kwa kufanya mazoezi na kula milo sahihi. Usidanganyike: HAKUNA dawa za kupunguza uzito Narudia tena usidanganyike kuwa kuna mtu atakupa au kukuuzia dawa ya kupunguza uzito. Utakuja kumeza madawa yenye madhara bure, na madhara yake utayaona baadae, si ajabu baada ya miaka kumi hata ishirini. Mazoezi yatosha.