Mwaka 1985 na mwaka 1990 mkutano mkuu wa ccm ulimpitisha mzee Ali Hassan Mwinyi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na upande wa Zanzibar Mzee Iddris Abdul wakeel akigombea urais wa zanzibar 1985 na dr salmin amour mwaka 1990.
Punguza ubaguzi ndugu Yussuf Juma Mwenda ni mtu wa Tanganyika amewahi kuwa meya wa Manispaa moja hapa Dar es salaam aliazimwa Zanzibar kwa kwenda kuisuka Mamlaka ya mapato ya huko visiwani tu sasa amerudi kwao.
Hii ni video ya mwaka 2017 nadhani ilishapita mijadala yake haina haja tena kuirudia watu wanaoendelea kuirusha wana nia ya kujenga chuki na kutia doa umoja wetu katika Muungano na kutaka kutonesha jeraha ambalo limeshapita katika Imani za dini zetu.
Mbona sasa mnatuchanganya tuliambiwa JK na ENL 1995 walikuwa na lengo moja la kuunda team ya kushinda Urais, sasa imekuwaje Lowassa awe na kinyongo Jina lake kutofika CC wakati swahiba wake alifika hadi tatu bora za 1995.
Mwaka 1985 wakati mwalimu nyerere anang'atuka madarakani na kuingia mzee Mwinyi malecela hakuwa na nguvu hiyo unayoisema na nafasi ya Waziri mkuu aliipata ndugu warioba.
Usisahau kama Mwinyi amekuja na mfumo wa kubana matumizi yasiyo ya lazima ya Serikali na kubana mianya ya uvujaji wa mapato kwa kukusanya kodi na tozo kwa mifumo ya kielkroniki, aidha Rais Mwinyi amekuwa Rais mwenye mawazo mapya kuliko watangulizi wake ameamua kuvikodisha visiwa ambavyo kwa...
Miaka ya hamsini hadi 70's sigara ilikuwa fashion hasa kwa viongozi wasomi wa walati huo nakumbuka hata Rais wa awamu ya Pili ya Zanzibar sheikh Aboud Jumbe alikuwa anavuta sigara tena hadharani kabisa
Kitu gani ambacho Mama Samia amekifanya ambacho kinaonesha dalili za kuipa Zanzibar mamlaka kamili.
.? ni ziara zake za mapumziko huko Zanzibar...? Kama ni hilo hata mwendazake alikuwa anatumia muda wa mapumziko kwenda Chato na hatukuwahi kusikia chato inataka kuwa Jamhuri ndani ya nchi yetu, au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.