Recent content by ngonyango

  1. N

    Ronaldo pamoja na kuwa na hela nyingi mpaka leo hajaoa (ana mchumba tu), lakini wewe Pangu Pakavu ushajitwisha majukumu

    Ronaldo Alishasema anahofia kupoteza nusu ya utajiri wake wakipeana talaka...hata huyo mwanamke amekubali kwamba wakae hivyohivyo sababu anampenda sana jamaa na hapendi kuona hali hiyo ikitokea ukizingatia ndoa hazitabiriki
  2. N

    Waraka mfupi kwa Pascal Mayala

    basi subili UKIREWA iri uwe na HIRO TATIZO
  3. N

    Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

    KWELI AFYA YA AKILI NI TATIZO MTAMBUKA
  4. N

    Tunaipokea treni ya mchongoko kwa shingo upande, ni kama ile ya zamani imechongwa kimchongo

    Mtu mweusi achelewi kuweka kifuu li kuwe na mchongoko pale mbele
  5. N

    Masaa machache yajayo Mamia ya makombora ya Iran yatatua Telaviv

    Hawanaga ubavu huo....ni kama Kiduku na USA
  6. N

    Wakuu nina wazo

    wamekuwa kausha dammu sana hawa viumbe
  7. N

    Tuseme Ukweli kuhusu Stephanie Aziz Ki

    Makolo bhana
  8. N

    Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Ila wamezidi kuomba omba hawa viumbe
  9. N

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    We kweli boya......kuna cha kuuliza hapo wakati majibu unayo?
  10. N

    Wanaume wenzangu hivi mkitoka out siku ya kwanza huwa mnapiga stori gani? Nimeachwa mara ya pili hii kwa kukosa 'interesting story'

    Mwanamke yeyote anapenda stori za mapenzi mapenzi....we mpe stori za jamaa yako alivyofumaniwa nk
Back
Top Bottom