Recent content by Ngongo

  1. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Tatizo bado haujaliona !. Nikipanda majukwaani naibagaza Sirikali kumbe nyuma ya pazi tunawasiliana,tunacheka na tunapena haueni za kutosha.
  2. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Haaaa.
  3. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Utaelewa taratibu.
  4. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Yah.
  5. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Kama anafanya mawasiliano ya siri na Viongozi wakuu wa serekali tukae kimya.
  6. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man City wamefanya usajili wa 526 million. Man United wamefanya usajili wa 155 million. Ukweli mchungu wamiliki wa United wameguangusha sana mashabiki wa United. Uwekezaji wa United mdogo sana ukilinganisha Spurs,Arsenal,City......... Tunaweza kumlaumu Carrick lakini kwa uwekezaji huu sioni...
  7. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huu us.nge wa Man unatia kinyaa.
  8. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Kuna mijitu mijinga itaanza kumwita Prof Ngongo pandikizi.
  9. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa Passport na Mkuu Tiss !

    Mkuu wa Tiss katoa agizo kwa Mkuu wa Uhamiji Prof Ngongo apatiwe Passport mara moja. Hizi habari za kwenda office za uhamiaji kuomba Passport zimepitwa na wakati. Sisi wakubwa tuna utaratibu wetu. Najaribu kufikiria kama angekuwa mtu fulani angeitwa majina yote. Ngongo kwasasa Tandamti.
  10. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Siasa,Dini & Jamii mbali mbali jichunguzeni.

    Heshima sana wanajamvi. Kufuatia msiba wa Mume wa Mh Rais wa JMT tumeshudia viongozi wa Dini,Wanasiasa,Wasanii na Viongozi tofauti tofauti wakimimika kuelekea Zanzibar kutoa salamu za pole kwa Mh Rais. Hakika jambo hili ni jambo la kiungwana sana na ndio utamaduni wetu Watanzania. Binafsi...
  11. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Lema amefanya jambo jema, japo....?

    Debe tupu.
  12. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Umeingia chumba cha mtihani wa hisabati swali la kwanza hadi kumi huoni kitu. Ukitazama nyuma,mbele,kulia,kushoto watu wanatiririka na wengine wanaomba nyongeza ya makaratasi.Unajipa moyo unatazama tena na tena unabaini swali la saba unaweza kufurukuta,unatumia dakika 14 kuchanganua...
  13. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Safari hii Luca akikosa uteuzi ujiuzulu uchawa mkuu hapa JF.
  14. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Kuna baadhi ya picha unaona aibu wewe unatazama.
  15. Ngongo

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CHADEMA yatoa pole kufuatia kifo cha Hafidh Ameir

    TEC wakiongozwa na Rais na Maaskofu wote wa Catholic church wanamtambua,wewe mlalahoi wa Tandale usipomtambua kknapungua nini. CHADEMA mtakapofikia malengo yenu mtakuwa mmechoka sana.
Back
Top Bottom