Recent content by Ngongo

  1. Ngongo

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Hashimu Rungwe: Salumu Alisema atahakikisha ananinyoa ndevu zangu kwa upanga

    Nafasi ya Naibu Katibu Mkuu ipo wazi.
  2. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Hawli ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir Nyumbani Kwake Magomeni Dar es Salaam

    Huyu Mzee wa Tandamti akilala udini akiamka udini sijui ana shida gani.
  3. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kinying'anya cha Pazi Kibasila atembelea Maktaba

    Mmoja ya Wazee wa hovyo kabisa kutokea Mzizima.
  4. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Kanisa walikuwa na mchango gani katika kuleta Uhuru Tanganyika?

    Mwenyekiti wa kwanza wa TAA alikuwa mgalatia Cecil Matola.
  5. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Nani anamnyonya mwezake? Tanganyika au Zanzibar? Kwanini Watanganyika hawateuliwi kuwa viongozi Zanzibar? Tanganyika ipo wapi?

    Wazanzibar wanauza rasilimali za Tanganyika. Bandari. Waziri wa uchukuzi Mbarawa Mzanzibar. Mwanasheria Mkuu Johari Mzanzibar. Rais wa JMT Samia Mzanzibar. Mitanganyika ipo ipo tu.
  6. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Kanisa walikuwa na mchango gani katika kuleta Uhuru Tanganyika?

    Mzee mpuuzi kweli kweli ukimtaja John Rupia hataki.
  7. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Kanisa walikuwa na mchango gani katika kuleta Uhuru Tanganyika?

    Sisi tulijenga Madrasa kwaajili ya kujitawala.
  8. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume, imerudi tena

    Nje ya mada hivi ukifanyiwa op ya tezi dume unaweza kupiga mzigo.
  9. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Video: Balozi wa Iran akishangiliwa Dodoma Bungeni

    Kumshangilia Balozi wa Iran ni ujuha.Ikiwa Bungeni tumewapeleka Wabunge aina ya Baba Revo sijui Babu...unategemea nini !.
  10. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Akutukanae, hakuchagulii tusi

    Ukweli mchungu kati ya mambo ya hovyo aliyotuachia Mwl Nyerere kubwa kuliko yote ni huu muungano feki.
  11. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Bibi Titi Mohamed imeshindikana kumfuta katika historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Huyu Ustadhi hadi anatia kinyaa.
Back
Top Bottom