Wameru wangekuwa wengi sijui ingekuwaje.
Wameru wapo KIA hadi Bangata jiulize wangekuwa wapo Rombo,Marangu,Machame,Same na Mwanga Tanganyika isingetawalika.
Heshima sana wanajamvi,
General Muhoozi Kainerugaba CDF wa Uganda Army Forces na ndiye Rais wa mtarajiwa wa Uganda baada ya Baba yake kuitawala Uganda kwa zaidi ya miaka 40.
General Muhoozi amekuwa akitoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya mataifa mengine ikiwemo Kenya na Uturiki.
Kauli zake kama...
Heshima sana wanajamvi.
Nilimsikia Rais wa Kenya Dr W Rutto akihutubia Bunge juu ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Jiji Tanga.
Wakati huo huo Rais wa Tanzania akihoji kutokuwa na taarifa ya ujio wa kiwanda hicho katika nchi yake.
Ujenzi wa kiwanda cha kuchakata au kusafisha mafuta ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.