Man City wamefanya usajili wa 526 million.
Man United wamefanya usajili wa 155 million.
Ukweli mchungu wamiliki wa United wameguangusha sana mashabiki wa United.
Uwekezaji wa United mdogo sana ukilinganisha Spurs,Arsenal,City.........
Tunaweza kumlaumu Carrick lakini kwa uwekezaji huu sioni...
Mkuu wa Tiss katoa agizo kwa Mkuu wa Uhamiji Prof Ngongo apatiwe Passport mara moja.
Hizi habari za kwenda office za uhamiaji kuomba Passport zimepitwa na wakati.
Sisi wakubwa tuna utaratibu wetu.
Najaribu kufikiria kama angekuwa mtu fulani angeitwa majina yote.
Ngongo kwasasa Tandamti.
Heshima sana wanajamvi.
Kufuatia msiba wa Mume wa Mh Rais wa JMT tumeshudia viongozi wa Dini,Wanasiasa,Wasanii na Viongozi tofauti tofauti wakimimika kuelekea Zanzibar kutoa salamu za pole kwa Mh Rais.
Hakika jambo hili ni jambo la kiungwana sana na ndio utamaduni wetu Watanzania.
Binafsi...
Umeingia chumba cha mtihani wa hisabati swali la kwanza hadi kumi huoni kitu.
Ukitazama nyuma,mbele,kulia,kushoto watu wanatiririka na wengine wanaomba nyongeza ya makaratasi.Unajipa moyo unatazama tena na tena unabaini swali la saba unaweza kufurukuta,unatumia dakika 14 kuchanganua...
TEC wakiongozwa na Rais na Maaskofu wote wa Catholic church wanamtambua,wewe mlalahoi wa Tandale usipomtambua kknapungua nini.
CHADEMA mtakapofikia malengo yenu mtakuwa mmechoka sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.