Recent content by Ngongo

  1. Ngongo

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Huyu labda akasomeshe huko Msikitini huku hana nafasi kabakia kulazimisha Sykes alikuwa bora kuliko Mwl Nyerere!. Nikimdharau aliposhabikia waarabu kuchukua Bandari zetu nikajua kumbe huyu mzee punguani.Kwake yeye Waarabu ni kila kitu.
  2. Ngongo

    Mjadala wa Wachangiaji M1 JF Jukwaa la Historia 2013

    Ukweli lazima usemwe bila Mwl vile vichwa vya Kariakoo na Tandamti vilishalegea hawakuwa na maarifa zaidi ya kucheza Bao na kula Tende.
  3. Ngongo

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Nchi hii kama Waislam wangekuwa majority vita ingeshatokea siku nyingi sana.
  4. Ngongo

    RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa

    Kulirejesha ndani ya chupa ndio shughuli nzito.
  5. Ngongo

    Waziri Hamza: Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Dar-Zanzibar

    Gharama nani atalipa ?.
  6. Ngongo

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    Gadaf alistahili kifo hayo unayosema yaliwezekana kwasababu Libya ilikuwa na idadi ndogo ya watu na mauzo makubwa ya mafuta. Hakuna kitu cha ajabu hapo hata mtu mjinga angepewa kuongoza Libya angefanya. Gadaf alimsaidia Nduli Idd Amin katika vita ya Kagera.Kama wewe ni Mtanganyika halisi...
  7. Ngongo

    Mjadala wa Wachangiaji M1 JF Jukwaa la Historia 2013

    Kabisa kamaliza kila kitu.
  8. Ngongo

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Pombe anaweza kuja kuwa Rais.
  9. Ngongo

    John Malecela amshukuru Mungu kwa kufikisha Umri wa miaka 90, Phillipo Mangula ahudhuria

    Malecela hana shukrani alitakiwa kimshukuru Rais au nasema uongo jamani.
  10. Ngongo

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Unaongoza bao 3 nill eti sasa 3;3
Back
Top Bottom