Huyu labda akasomeshe huko Msikitini huku hana nafasi kabakia kulazimisha Sykes alikuwa bora kuliko Mwl Nyerere!.
Nikimdharau aliposhabikia waarabu kuchukua Bandari zetu nikajua kumbe huyu mzee punguani.Kwake yeye Waarabu ni kila kitu.
Gadaf alistahili kifo hayo unayosema yaliwezekana kwasababu Libya ilikuwa na idadi ndogo ya watu na mauzo makubwa ya mafuta.
Hakuna kitu cha ajabu hapo hata mtu mjinga angepewa kuongoza Libya angefanya.
Gadaf alimsaidia Nduli Idd Amin katika vita ya Kagera.Kama wewe ni Mtanganyika halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.