Recent content by Ngongo

  1. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Mamba miamba upareni.
  2. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Chimbuko la Wameru

    Wameru wangekuwa wengi sijui ingekuwaje. Wameru wapo KIA hadi Bangata jiulize wangekuwa wapo Rombo,Marangu,Machame,Same na Mwanga Tanganyika isingetawalika.
  3. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Wabunge 7 wanaotajwa kuwa na michango yenye mashiko Bunge la 13, 2025

    Hivi kuna watanzania wanafuatilia bunge !.
  4. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Imad Mughniey: Kamanda wa Hezbollah aliyeuliwa akitoka kwa mchepuko

    Sijui yule mzee wa Tandamti Mohamed Said amepitia huku
  5. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Ulimwengu Unajua Kinachoisibu Israel Kutokana na Vita?

    wayaudi watatengeneza filamu ya kifo cha Benjamin Netanyau.
  6. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Aisee.
  7. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Rais mtarajiwa wa Uganda General Muhoozi Kainerugaba

    Heshima sana wanajamvi, General Muhoozi Kainerugaba CDF wa Uganda Army Forces na ndiye Rais wa mtarajiwa wa Uganda baada ya Baba yake kuitawala Uganda kwa zaidi ya miaka 40. General Muhoozi amekuwa akitoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya mataifa mengine ikiwemo Kenya na Uturiki. Kauli zake kama...
  8. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Jamaa mshamba mshamba.
  9. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Unawezakuta umesoma kile kitabu cha Nyerere fake.
  10. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Nina masikitiko makubwa. Badala ya kuchangamkia uwejezaji tuna shabikia kunyuka bakora vijana wetu.
  11. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Heshima sana wanajamvi. Nilimsikia Rais wa Kenya Dr W Rutto akihutubia Bunge juu ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Jiji Tanga. Wakati huo huo Rais wa Tanzania akihoji kutokuwa na taarifa ya ujio wa kiwanda hicho katika nchi yake. Ujenzi wa kiwanda cha kuchakata au kusafisha mafuta ni...
  12. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Usimkatie tamaa mtu..! Zikiisha akili humrudi.. Hiari yashinda utumwa!

    Uteuzi umechelewa sana akili zimeanza kumrejea. Mpaka Mwezi July wakimnyima uRC au uRAS atajiondoa.
  13. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya “MFUNGWA WA SAMIA”

    Halafu kapiga perfume aina BOSS haaaa wafungwa Tanganyika wapo vizuri kweli kweli.
  14. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu

    Mapepo lazima yakuvuruge.
Back
Top Bottom