SaidSabke, Kwa mtazamo huo waweke kipengele kwenye katiba kuelekeza mambo yote yenye kugusa mstakabali wa nchi yaamuliwe kwa kura za wazi ( mf. uchaguzi wa Rais na wabunge) ili wananchi waone wazi kinachoendelea.
Hapa ndo tatizo linapoanzia, kama freq. ikizidi ( i.e. kila mkikutana unataka ya Pedi ?? etc ) kwa nini asianze ku sense tatizo ... Hayo ni mawazo yangu
Kakalende, Matapeli wakati wote huwa wanaangalia upepo unavyoenda nakuhakikisha wamejiweka usawa wa kutopoteza walicho ki target , hii ni pamoja na kutumia vifungu vya sheria kuweka sawa mambo ili yawe kisheria zaidi kuliko kitapeli.
Anashughulikia matatizo ya somalia ili meli za mafuta zipite salama kwenye gulf ya Aden . Haya madogo madogo ametuma watendaji wake wayashughulikie taarifa ya utekelezaji atapelekewa
Livinga, heri mi TZ iteseke lakini midege iruke maana isiporuka ratiba za ziara ya mwenye nyumba zitaharibika ambazo zina faidi kubwa kwa nchi ( am not sure kama ni kwa walala hoi)
Madcheda, Hujui kama maandamano yanayoitishwa na chadema yalisababisha viongozi waseme cdm wanataka nchi isitawalike na kwa sasa nia ya kurekebisha sheria ya maandamano imewekwa wazi kwa mwanvuli wa kuwasaidia wanachi waeze kufanya shughuli zao bila bughudha.
However, hiyo nia ya watawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.