Wanajamvi mimi naomba ushauri kupitia ukurasa huu wa doctor, usiku nikianza kusinzia au nikikaanga kitunguu, yaani koo linawasha natamani kujikuna na kidole ila siwezi.
Naomba ushauri na tiba tafadhalini.
Mi katika mazungumzo yooote haya,, sijaskia kauli ya Nondo hata neno moja, naskia tuu upande wa dola ndio wanatiririka, Nuru iko Karibu kutuzukia nchini, tusichoke kuombeana watanzania.
Hivi mbona cku izi traffic wengi hawavai tag namba zao za utambulisho??.
Sasa hapa utamtambuaje kama huyu ni traffic kweli au sio?. Je?,hio ni sahihi kufanya kazi bila utambulisho. Tafadhali wahusika walifanyie kazi.
Mi nataka kutumia USB DVB TV TUNER kwenye laptop/tablet nafanyaje??, kama ni kulipia nalipiaje maana channels zote ziko locked except ST Guide ndo inanyesha?.
Msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.