Bila ubishi Mhe LOWASA ana sifa za kuongoza kitaifa na kimataifa. Mimi naahidi kumtolea milioni moja ya kuchukua fomu ya kugombea URAIS ndani ya chama kubwa CCM
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mijadala juu nani atakuwa rais baada ya jk kumaliza muda wake. Nashangazwa na shutuma zisizo na ushahidi ambazo zimekuwa zikitolewa dhidi ya lowasa, naomba tuache chuki na tujadili sifa za kiongozi na jina litokane na sifa
Hitaji la watanzania si serikali 4 au 5. Wananchi wanahitaji amani, haki na usawa. serikali itakayokomesha ufisadi, dhuluma,udini, ukabila na matabaka ndio hasa wanayohitaji watu wa nchi hii hata kama itakuwa ni serikali moja.
Kwa haraka haraka hoja hii yaweza chukuliwa kama ukabila lakini kuna manung,uniko kwa baadhi ya watanzania kuwa raslimali za taifa tokea uhuru zimeendelea kuwa chini ya wachaga ,wahaya na wanyakyusa na huku jamii zingine kama maasai na wengineo wameendelea kuwa na thamani sawa na wanyama wa...
Inaweza elezwa au kuonekana kama ni ukabila au hata ubaguzi lakini tayari kuna minong'ono na manung'uniko kwa watanzania kuwa tokea uhuru na hadi sasa raslimali na fursa za nchi hii zimeendelea kuwa chini ya makabila machache tu ya nchi hii, na hasa WACHAGA, WAHAYA na WANYAKYUSA.
Baadhi ya...
Hoja iliyo ndani ya mjadala huo ni mgawanyo ulio sawa wa raslimali za taifa. miaka 52 baada ya uhuru tanzania imebakia chini ya wachaga,wahaya na wanyakyusa. hakuna ukabila hapo ila ni suala la maslahi kwa kila mmoja. mjadala wa wazi juu manufaa ya raslimali za taifa kwa kila mtanzania ni mhimu
Nashauri kwa upendo kabisa na uzalendo wa hali ya juu kwamba kuna baadhi ya habari si za kuanika humu, maana hujui adui zako nao wakizisoma watafanya nini, suala la vita ni nyeti sana na hivyo tuwe makini na tunayoweka humu.
Wakati watanzania munatumia muda mwingi kujadili uccm na uchadema, jirani yenu kagame yupo israel kwa sasa, tafakarini undani wa ziara, pia msisahau kuwa mseveni na yule mama wa kimalawi hawapo nanyi. Ipo haja kama taifa kujipanga sawasawa na kuwa na uzalendo wa hali ya juu. Mijadala isiyo na...
ni kweli kuwa alichokisema rais kikwete kipo sawa, wanyarwanda wasikimbie ukweli, mgogoro ndani ya congo ni wanyarwanda waliokimbia makwao.
Wanyarwanda wakae wazungumze na pia uhutu na utusi usiwe kigezo cha majanga ndani ya nchi jirani ya congo drc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.