Kuelekea 2015, Lowassa kumbana Nape

Kuelekea 2015, Lowassa kumbana Nape

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Kuna mambo ya msingi viongozi wa CCM wanatakiwa kufanya kulikoni kuiwazia 2015 peke yake,Tujenge Chama hiki muhimu kuliko kujenga mtu....Suala la kuanza kuhusisha Nape na Lowasa wakati huu ni kukidhoofisha chama na si kukijenga.
 

Attachments

  • DSC_0711.jpg
    DSC_0711.jpg
    169.4 KB · Views: 394
Hivi lowasa akiwa rais, hao marafiki zake wanaompa pesa ya kununua madaraka atawalipa nini? Uhuru wa kuuza unga, au tenda za kutengeneza mvua?
 
Mimi namshangaa sana Lowasa Kwa kukamia kuwa Raisi sijui ana nini kipo moyoni mwake, pia ajue Mungu anaweza akawa na chaguo lake na sio yeye na asisahau hakuna mwenye uhakika wa kufika 2015 ila Mungu mwenyewe ndio anayejua.
 
Lowasa wangeshirikiana na mzee wa elimu ya kutangaza zigo a.k.a zitto wanzisha chama.coz hawana nafas ya urais wanaliko
 
Wanajamvi wengi tunapinga Lowasa kusimama kama mgombea wa CCM 2015 huku tukimuita mwizi na fisadi,lkn wajameni hembu niambieni aliye CCM na sio mwizi, na kama yupo hapo anafanya nini katika kundi la wezi?.......binafsi namsifu Mzee Sita na Kijana Nape pamoja na unafiki wao lkn ndio mwenye mshipa wa kumnyooshea Lowasa kidole japo viongozi wengine wa juu wanaogopa na kuishia kulalama tu.
 
ajenda zote za nape zinakwama ukianza na kuvua gamba na sasa suala la mizigo,mwenye akili anajua system haimkubali
 
Wanajamvi wengi tunapinga Lowasa kusimama kama mgombea wa CCM 2015 huku tukimuita mwizi na fisadi,lkn wajameni hembu niambieni aliye CCM na sio mwizi, na kama yupo hapo anafanya nini katika kundi la wezi?.......binafsi namsifu Mzee Sita na Kijana Nape pamoja na unafiki wao lkn ndio mwenye mshipa wa kumnyooshea Lowasa kidole japo viongozi wengine wa juu wanaogopa na kuishia kulalama tu.
nape na sita wanafanya hivyo ili jamaa awape kitu kidogo wakiishiwa wanaanza tena
 
Lowasa wangeshirikiana na mzee wa elimu ya kutangaza zigo a.k.a zitto wanzisha chama.coz hawana nafas ya urais wanaliko

haha sasa naona hata wana CCM wanawajumlisha pamoja..Je umejiuliza km CCM watahimili km CDM walivyohimili?CCM walishambikia haki wakatoa hela..Sasa CDM watapalilia hu moto kwa kumwaga data zinazoendana na upande wanaotaka upa nguvu dhidi ya CCM.
 
Mimi namshangaa sana Lowasa Kwa kukamia kuwa Raisi sijui ana nini kipo moyoni mwake, pia ajue Mungu anaweza akawa na chaguo lake na sio yeye na asisahau hakuna mwenye uhakika wa kufika 2015 ila Mungu mwenyewe ndio anayejua.

kwani kutaka kugombea urais ni kosa? lowasa sio mnafiki anaeleza wazi dhamira yake
 
Huo ni ufinyu wa mawazo
No free lunch, wakale walisema. Yeye mwenyewe husema kuwa pesa anapewa na marafiki zake ambao ni wafanyabiashara hivyo ni busara akatuambia ni kwa namna gani amejipanga kulipa fadhila hizo za marafikize? Lazima atuambie mapema, asijekuwa anampango wa kutuuza utumwani tena.
 
Mimi namshangaa sana Lowasa Kwa kukamia kuwa Raisi sijui ana nini kipo moyoni mwake, pia ajue Mungu anaweza akawa na chaguo lake na sio yeye na asisahau hakuna mwenye uhakika wa kufika 2015 ila Mungu mwenyewe ndio anayejua.

Mbona Slaa naye kapania kuna nini?
 
nape na sita wanafanya hivyo ili jamaa awape kitu kidogo wakiishiwa wanaanza tena
kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi, mamaaaaaaaaaaaaaaa kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi mayowaneeeeeeeeeee maweeeeeeeeeeeeeee
 
Mimi namshangaa sana Lowasa Kwa kukamia kuwa Raisi sijui ana nini kipo moyoni mwake, pia ajue Mungu anaweza akawa na chaguo lake na sio yeye na asisahau hakuna mwenye uhakika wa kufika 2015 ila Mungu mwenyewe ndio anayejua.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mijadala juu nani atakuwa rais baada ya jk kumaliza muda wake. Nashangazwa na shutuma zisizo na ushahidi ambazo zimekuwa zikitolewa dhidi ya lowasa, naomba tuache chuki na tujadili sifa za kiongozi na jina litokane na sifa
 
Mimi namshangaa sana Lowasa Kwa kukamia kuwa Raisi sijui ana nini kipo moyoni mwake, pia ajue Mungu anaweza akawa na chaguo lake na sio yeye na asisahau hakuna mwenye uhakika wa kufika 2015 ila Mungu mwenyewe ndio anayejua.

Mkuu kama we huna malengo ya miaka ishirini ijayo eti kisa hujui utakufa lini, ukae ukijua we ni hasara kwa famili yako, jamii yako na kwa taifa lako
 
Wanajamvi wengi tunapinga Lowasa kusimama kama mgombea wa CCM 2015 huku tukimuita mwizi na fisadi,lkn wajameni hembu niambieni aliye CCM na sio mwizi, na kama yupo hapo anafanya nini katika kundi la wezi?.......binafsi namsifu Mzee Sita na Kijana Nape pamoja na unafiki wao lkn ndio mwenye mshipa wa kumnyooshea Lowasa kidole japo viongozi wengine wa juu wanaogopa na kuishia kulalama tu.
Mbona slaa na mbowe wanatafuna ruzuku makao makuu na hakuna anaeondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom