'bora yetu wakulima tuliojaza mahindi na mchele tele kwenye vihenge, njaa iwatafune tu nyie msiofanya kazi bali kuwaza yasiyowazwa na kuyatema mithili ya samaki kumeza maji na kuyatema' [emoji83] [emoji86]
kama umemuona kila utokapo kwenu we anakuhusu nn.... mbona kuku na bata zenu husemi kama unaziona kila cku au kwa huyo 'demu' umeshangazwa na kipi... nadhani huwa unashindia mihogo
ukiwa mtafiti wa mambo hata ukitoa jambo la kiutafiti linakuna 'maoneo' na 'mawazio' na kama hutaweza hata kuelewa kwa picha kwa mandishi utatafuta njaa bure. mbowe wakati anaona 'kesho' mwaka huo 2005, mtawala aliyeshindwa kuthibiti maporomoko ya shilingi dhidi ya dolali alikuwa anaona 'leo'...
Huyo yupo sawa kabisa kutotaka papuchi yake iingiliwe kiholela, ila unachopaswa kufanya nenda nae taratibu wala ucmwendee pupa hata kama atakuwa analala 'kabati' la tinted we mchukulie poa maana anatafakari namna ya kuruhusu mjusi umwingilie ila cku mjusi ameingia tunduni atakuwa anataka hata...
mmmm... huyo aliyesema 'cooking tea' nadhani kama aliingiaingia darasani mwalimu wake alikuwa hajala siku hyo alikuwa na mgogoro na mke wake, mume wake, rafiki yake wa kike ama ragiki yake wa kiume au pengine hamnazo kabisaaaaaa.....
naomba kuelimishwa juu ya mnyama huyu:
mbuzi dume anaitwa 'beberu', na kondoo dume aitwaje? tupia jibu tusaidiane kupambana na adui 'ujinga' maana kanisumbua kwa muda sasa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.