Nimekuwa na mtazamo usioridhishwa na mpangilio wa rangi ktk bendera yetu ya Taifa.Kama inavojulikana bendera yetu ina rangi NNE ikiwa ni blue,njano,nyeusi na kijani.
Zangi hizo zimewekwa kwamsingi wa utambulisho wa mazingira ilipo nchi yetu aina ya watu wake,pia baadhi ya Mali zinazopatikana nikizingatia msingi wa utambulisho wa hizo rangi naona haukidhi utambulisho wa nchi kama Tanzania nayoijua Mimi kwa maana kuwa utambulisho uliofanyika is very common, nikianza na rangi yakijani inayo wakilisha uoto wa asili ,uoto huo unapatikana karibu ktk kila nchi duniani kama zipo nchi zinazokosa huo uoto kijani basi yaweza kuwa ni nchi chache sana.hivyo sioni mantiki ya uwakilishi wa rangi hii ktk bendera yetu kwa kuwa hakuna uniqueness.
Inafuata rangi blue inayowakilisha uwepo wamaji bahari.hii nayo sioni umuhimu wake kwa kuwa robotatu ya dunia tunamoishi inazungukwa na maji bahari hivo nchi nyingi duniani zipo ktk mazingira ya maji bahari hivo sioni umuhimu wa utambulisho huu ktk bendera yetu kwa kuwa hiyo bahari nikitu very common humu duniani Nakwamba sioni uniqueness hata ikapaswa kuwa ktk bendera yetu.
Baada yahizo rangi nilizokwisha kuzitaja nahitimisha kwa rangi nyeusi, kama nilivoeleza sababu zakutoridhishwa na rangi hizo nyingine pia hii nyeusi kwangu inakosa umuhimu kipekee kwa kuwa nchi za Africa zipo nyingi na zilizonyingi wakaazi wake niweusi ijapo zipo nchi chache zenye wakaazi wenye rangi ya kiarabu.kwa hiyo Tanzania kuwapo kwake Afrika inatosha kujua wakaazi wake wengi niweusi, nazaidi ya hiyo ninamna yakuonyesha ubaguzi wa rangi maana natambua watanzania siyo lazima wawe weusi tu, nahitimisha kwakubaini kuwa watangulizi walofanya kazi ya kuchagua rangi hizo za bendera ya Taifa kwamuono wangu walikuwa na uvivu wa kufikiri.
nahitimisha kwa kuomba michango ya mawazo juu ya andiko hili, ililiwezekuboreshwa zaidi na Zaidi kwayeyote atayekuwa na mchango wa rangi zenye uwakilishi murua wa nchi yetu itapendeza Zaidi.
Zangi hizo zimewekwa kwamsingi wa utambulisho wa mazingira ilipo nchi yetu aina ya watu wake,pia baadhi ya Mali zinazopatikana nikizingatia msingi wa utambulisho wa hizo rangi naona haukidhi utambulisho wa nchi kama Tanzania nayoijua Mimi kwa maana kuwa utambulisho uliofanyika is very common, nikianza na rangi yakijani inayo wakilisha uoto wa asili ,uoto huo unapatikana karibu ktk kila nchi duniani kama zipo nchi zinazokosa huo uoto kijani basi yaweza kuwa ni nchi chache sana.hivyo sioni mantiki ya uwakilishi wa rangi hii ktk bendera yetu kwa kuwa hakuna uniqueness.
Inafuata rangi blue inayowakilisha uwepo wamaji bahari.hii nayo sioni umuhimu wake kwa kuwa robotatu ya dunia tunamoishi inazungukwa na maji bahari hivo nchi nyingi duniani zipo ktk mazingira ya maji bahari hivo sioni umuhimu wa utambulisho huu ktk bendera yetu kwa kuwa hiyo bahari nikitu very common humu duniani Nakwamba sioni uniqueness hata ikapaswa kuwa ktk bendera yetu.
Baada yahizo rangi nilizokwisha kuzitaja nahitimisha kwa rangi nyeusi, kama nilivoeleza sababu zakutoridhishwa na rangi hizo nyingine pia hii nyeusi kwangu inakosa umuhimu kipekee kwa kuwa nchi za Africa zipo nyingi na zilizonyingi wakaazi wake niweusi ijapo zipo nchi chache zenye wakaazi wenye rangi ya kiarabu.kwa hiyo Tanzania kuwapo kwake Afrika inatosha kujua wakaazi wake wengi niweusi, nazaidi ya hiyo ninamna yakuonyesha ubaguzi wa rangi maana natambua watanzania siyo lazima wawe weusi tu, nahitimisha kwakubaini kuwa watangulizi walofanya kazi ya kuchagua rangi hizo za bendera ya Taifa kwamuono wangu walikuwa na uvivu wa kufikiri.
nahitimisha kwa kuomba michango ya mawazo juu ya andiko hili, ililiwezekuboreshwa zaidi na Zaidi kwayeyote atayekuwa na mchango wa rangi zenye uwakilishi murua wa nchi yetu itapendeza Zaidi.