Maono ya Mbowe miaka 10 iliyopita!

Maono ya Mbowe miaka 10 iliyopita!

CCM wanamgwaya sana kamanda Mbowe ndiyo maana walimkodi Zitto kumdhoofisha lakini wamebugi.
 
Nabii Slaa, Teh teh ...

Mtume Lema !

IMG-20150307-WA0001.jpg
 
ukiwa mtafiti wa mambo hata ukitoa jambo la kiutafiti linakuna 'maoneo' na 'mawazio' na kama hutaweza hata kuelewa kwa picha kwa mandishi utatafuta njaa bure. mbowe wakati anaona 'kesho' mwaka huo 2005, mtawala aliyeshindwa kuthibiti maporomoko ya shilingi dhidi ya dolali alikuwa anaona 'leo'
hakika dolali kawa jogoo ...
 
Mbowe amefanya nini Chadema zaidi ya kujimilikisha Chama kwa kukiondoa kipengele cha ukomo wa uongozi?

The most useless jf member, chadema is stronger and ccm is weaker compared Tom may 2005
 
Unapo mchukia mtu eleza na sababu za kumcuhukia.kama huna hoja unapita tu.
 
Usicheke ukunga kizazi kingariko.mungu akupe mtoto jicho moja hakuna na kama huwaini zaa utaona huo msemo.


swissme
Kwa nini laana ya watu wapuuzi isiwarudie wao?Hujafa hujaumbika!Huyu anatakiwa awe na chongo yeye mwenyewe maana tukisema awe kipofu watu watamuonea huruma kwa vile hawajui jinsi anavyojichulia leo
 
Back
Top Bottom