Recent content by ngemera70

  1. N

    Waraka wangu kwa wamiliki wa nyumba za kupanga hasa hapa DSM

    Nina nyumba self tuwasiliane maeneo ya kimara bonyokwa
  2. N

    Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi aliyeripotiwa kupotea, Abdul Nondo apatikana Mafinga mkoani Iringa

    Kumbe we ni miongoni mwa wasiojulikana!! Shame on you
  3. N

    January Makamba (Mb) amepatwa na nini?

    Naamini ukimya wake unaashiria madudu yanayofanyika, asihusishwe. Mwenye busara utamjua kuwa kimya kuliko kujifanya kama wa maliasili
  4. N

    Hospitali Ocean Road yajibu madai ya Mange Kimambi,yakiri mlundikano wa wagonjwa na ubovu wa mashine

    Wako wajwnga flyover sijui watu wa Tabora inawasaidia nini? Siku hizi hakuna planning, mkulu anachokurupuka nacho ndo kipaumbele cha taifa
  5. N

    KYERWA, KAGERA: Basi la Fikoshi Investment lapata ajali Kondakta afariki papo hapo, majeruhi wakimbizwa Hospitali

    Si kuna tochi za kuzuia speed, au afande alisha chukua chake dreva akajisahau?
  6. N

    Ni kweli kuna bomu limelipuka huko kibaha?

    Nilimpigia mtu wanasema hamna kitu kama hichio, labda kama mtu kajamba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. N

    Mkuu wa Wilaya Karatu akerwa vijana kuoa watu wazima

    Hahaaaaa! Hivi na hiyo niiongoni mwa majukumu yake DC?
  8. N

    Heri uchukuliwe na polisi kuliko hao wasiojulikana

    Mi nashauri watu wakae mkao wa kujihami. Mi sasahivi najifua kikwelikweli natamani hao wasiojulika waje kwangu ndo itakuwa njia ya kuwatambua. Sasa hivi najitesa kwa kufanya mazoezi magumu nikiwasubiri hao watekaji. Make kuna msemo usemao ukiona mwenzio ananyolewa mawewe tia maji zu yaweza kuwa...
  9. N

    Magic FM na Salum Mkambala

    Small mind discuss people! Ova
  10. N

    Kwa heri Bulyanhulu niliyokuwa naifahamu

    Mimi sipangiwi cha kufanya, asema kilanja
  11. N

    Mtanzania kuwa makini, usipige picha vitu vifuatavyo

    Hii awamu haiishi, utadhani awamu hii badala ya siku kuwa masaa 24 yame extend kwa siku ni kama masaa 72[emoji21]
  12. N

    Je, sisi ni wajinga au wapumbavu?

    Akili zetu zimejaa maji hivi kiongozi aliyesema hawajui walioagiza hivi vichwa vya tren kwani humu nchini kuna reli ngapi na hivyo vichwa vingetumia barabara ya rami kama magari? Mi tangu day 1 niliona usanii wa viongozi wakisema hawamjui mwagizaji
  13. N

    Dar es Salaam City in Photos

    Mlieko Dodoma tuwekeeni picha za mji tufanye comparison
  14. N

    Risasi ya moto ni kwa ajili ya adui. Maswali ya kujiuliza

    Kwahiyo watu wasiojulikana si wako hadharani?
Back
Top Bottom