Hakuna ardhi ya waislamu,pale Israel pale Ni eneo lao la urithi hao wapalestina wavamizi,Soma historian vizur,hao wapalestina wamekuja baada ya wayahudi kuondolewa na warumi kihistoria pale sio kwao wanapaswa waende Jordan au Saudi Arabia ndo kwao.
Israel sio mkolon kwa Palestine pale ni kwao walipewa na Mungu kupitia mababu zao wakaja watu wengine kuvamia eneo lao na kufukuzwa Leo wamerudi kwao wanaitwa wakolon labda kwa mtu asiyejua historia ya Israel l
Enzi za farao hapakuwepo dini ya kislamu au kikristo Ila wayahudi waliokuwa wakishi eneo la Goshen ambao waliokuwa uzao wa Yakobo hivyo usidanganye hapa.Uislam ulikuja baada ya Kristo.
Hakuna haki inayopiganiwa na wapalestina,eneo Hilo ni Mali ya Wayahudi tangu alivyolotwa Joshua baadae Daudi na wafalme wote wa Israel walitawala hapo .Wapalestina walikuja baada ya Wayahudi kuondolewa na warumi mwaka 100Ad na ndipo eneo lao likavamiwa na wagen ambao Leo mnawaita Wapalestina .
Hakuna taifa linalokaliwana Israel somen biblia na sio Quran ,Hilo taifa Lina mipaka ilowekwa na Mungu mwenyewe .hao wanaojiita wapalestina hawapo hawana taifa
Uislamu hajuwepo kabla Ukristo au Uyahudi msipotoshe hata vitabu vya kislamu havikusema hivyo,Kumbuka mwislamu wa kwanza ni Khadija,then wanawe na mjombake ndipo akaja mtume Mohamed ambaye ndie wa kwanza ktk wenye kusilimu.Msipotoshe
Acha uongo,muislamu wa kwanza alikuwa Khadija na wanawe wawili akafuata mtume Muhammad hiyo kusema ati uislamu ndo dini ya kwanza je Buddha Ni ya ngapi?
Ni kweli reli MGR ilijengwa kusin kuanzia mtwara Hadi nachingwea 1952 na alizindua Havana jenerali wa Tanganyika enzi hizo reli hiyo ilingolewa miaka ya 1970 na tawala za wakati huo kutoka na kutokuwa na Tina na pia athari za Vita vya kusin mwa Afrika hivyo kukakoseka uzalishaji na mzigo hivyo...
Acha kudanganya watu haijanzia msumbiji na hata Hali ya hewa unayoizungumzia sio kweli .Msumbiji iko ukanda mmoja na mikoa ya mtwara Lindi na ruvuma na kwa upande wa Msumbiji ni mikoa ya cape Delgado Hadi Beira eneo hili Lina mvua nyingi sana hasa kuanzia Mwez Nov Hadi April ,so tatizo mvua...
Sio kweli,contemporary zilikuwepo tangu zaman,tatizo mafundi wengi hawajui kuzijenga hasa upande wa roofing wengi hajui kupaua,Pili zinahitaji close supervision na sio kuachia mafundi ili kukwepa gharama za kulipa Architect au Engineer.
Mim makubaliano na mapendekezo yako kwamba kila ujenzi lazima mtalaamu ahusishwe ktk hatua zote muhimu kutokana aina ya jengo na eneo linakojengwa .Ni kwel tofali zinaweza kujenga mpaka ghorofa 4 to maximum ili mradi tu wazingatie ubora wa materials na aina ya udongo .mfano mzuri ni ghorofa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.