FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,889
- 109,222
Mazayuni ujanja umewaishia, kwanza walikiondowa Ghaza kikosi chao kikali kuliko vyote kinachoitwa Golan baada ya kuchezea kichapo na kuona morali ya askari wao ipo chini sana. Wakaona kuendelea kuwaweka hao ni kuwaua tu, wakawaondoa.
Wakaleta kimya kimya kikosi kinachoitw "kfir", hiki ni kikosi cha chuki kwa Wakristo na Waislam ni kikosi cha kidini kinachoamini wote hao wa kuuliwa tu. Hawa ndiyo wakawa wanachezea kichapo kijinga kweli kweli wiki nzima hii.
Netanyahu kaona, umaarufu wake kisiasa unashuka, mabwana zake Wamarekani walishamwambia mwisho wa mwezi huu ndiyo basi. Hezbo;;ah huku inaendelea kuwafyatua kila kukicha.
Wayemeni nao wanaminya mishipa ya damu baharini huko.
Nahisi Mazayuni hawana ujanja na Hamas wamesema wao kila anaeikalia ardhi yao ni halali yao.
Wakaleta kimya kimya kikosi kinachoitw "kfir", hiki ni kikosi cha chuki kwa Wakristo na Waislam ni kikosi cha kidini kinachoamini wote hao wa kuuliwa tu. Hawa ndiyo wakawa wanachezea kichapo kijinga kweli kweli wiki nzima hii.
Netanyahu kaona, umaarufu wake kisiasa unashuka, mabwana zake Wamarekani walishamwambia mwisho wa mwezi huu ndiyo basi. Hezbo;;ah huku inaendelea kuwafyatua kila kukicha.
Wayemeni nao wanaminya mishipa ya damu baharini huko.
Nahisi Mazayuni hawana ujanja na Hamas wamesema wao kila anaeikalia ardhi yao ni halali yao.