Ni tapeli na sio kwamba he is a skilled hacker/business man.
Tofauti yake na jamaa wa tuna kwa namba hii ni kwamba anatapeli watu wazito na pesa ndefu.
Penda kuwa na mazungumzo nae kwa lugha unayopenda aijue + katuni (ukianzia na zile basics nikimaanisha za namba, herufi n.k) polepole ata anza kuongea na kuelewa.
Mimi wangu nimewaongelesha kiingereza na kiswahili toka wanaanza kuongea wanajua lugha mbili na bado hawajaanza shule.
Sijabishana nawe kaka, tunaeleweshana tu. Kitenge na huyo promota wote binadamu kama sisi. Mimi nakuomba rejea hayo makubaliano ya kimaandishi (mkataba) utaelewa hoka yetu ulipo.
Kitenge amesharipoti habari nyingi tu ambazo hazina ukweli.
Kama huu ndio mkataba wewe ndio unakosea kuna neno "ONLY FOR" katika hichi kipengele. Linabainisha hiyo 10k ni ya Burundi pekee. Labda kama sio kiingereza ninachokijua mimi au wenzangu walio jaribu kukuelewesha hapo juu.
Ushauri mzuri, ila swali je wana plan za execute hio process yao? Nadhani mna bahati kuwa na Rais msomi na mwenye exposure nzuri, kazi ni kwake kugeuza hali hii.
Calm down brother, ni siku mbaya tu kazini. Tutegemee siku ka hizi. City na squad + expirience bado huwa anakutana na gemu kama hizi. The positive is we walked away with 3 points. Lets forget today and move on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.