!Hello! Wana jf mi ni mwenzenu naomba mnipe mawazo mimi ni mwalim nataka nikalitumikie Taifa Morogor ila naomba mnisaidie, wilaya gani moro ni nzuri kwa maisha ya mwalimu ili kufanya na kashughuli ka kujiingizia kipato?
Huu ni mtazamo wangu utawala wa kikwete ni wa kipole sana kwan mpaka sasa hivi hatusikii watu kupigwa exile yaani kuhamishwa nje kwa nguv. ndo mana kila mtu anaibuka na kuanzish falsafa yake japo bwana kaya ameonyesha msimamo wake katika kuendesha taifa hapa imekaaje?
Bwana kaya na wewe amka...
Hello,
jaman naomba msaada sim yangu ya Nokia aina ya x-2 ukidownload file la PDF halafu akataka kulifungua naambiwa file not supportive hiv nifanye nini na hili tatizo?
Hello,
wana jf mi niko arusha mjini maeneo ya soko dogo ninatafuta pikipiki ya kununua ambayo imeshatumika si zaidi ya miezi minne please ni pm no hii 0686164981
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.